Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,094
Nawashtua walim wangu hapa waje na ushahidiNipo nakungojea nashangaa hufiki. Sijui umekwamia wapi we jamaa
We usjali [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawashtua walim wangu hapa waje na ushahidiNipo nakungojea nashangaa hufiki. Sijui umekwamia wapi we jamaa
Kitakacho wafanya wagombane ni the whole job, sio mapenzi hayo ni part ndogo ya Job descriptionKabugi bna. Wakigombana si ndo umeneja kushnehi.
Siioni vizuri hii,..huna nyingine mkuu ?Huyu hapa seven
View attachment 476629
Mmmh ivi ukigombana na mpenz wako like serious ugomvi mnaweza kukaa karibu kweli?Kitakacho wafanya wagombane ni the whole job, sio mapenzi hayo ni part ndogo ya Job description
Nadhan hapo sasa umenipata
Sasa wewe umewachukulia Ali Kiba na 7 kama ni wapenzi walio zama kwel kwel koas wanaweza gombana. Wale ni kama mama mwenye house kutembea na hose boy, sasa watagombanaje wakati kila mtu ana jua position yake?Mmmh ivi ukigombana na mpenz wako like serious ugomvi mnaweza kukaa karibu kweli?
Mimi siamini kuhusu friends with benefits. Wapo karibu muda mwingi ni rahis kwa 7 kuzama mazima. Mpaka jokate kuchapa lapa inawezekana ni serious issue. Hakuna cha position mkishamix malavidavi na kaziSasa wewe umewachukulia Ali Kiba na 7 kama ni wapenzi walio zama kwel kwel koas wanaweza gombana. Wale ni kama mama mwenye house kutembea na hose boy, sasa watagombanaje wakati kila mtu ana jua position yake?
Wale sio kama Zari na Daimond ni watu wa kupeana kampan tu kwa ajili ya ku imarisha uhusiano wa kibiashara
Utamfananisha jokate na seven 😳 😳 😳 😳 jokate namba nyingine.Katumika na kutemwa ila apunguze nyondo, lakini nae hakujua mwenzake alitaka kiki tu.
Manager ake ana enjoy now
Atafute au atafutwe.tatizo anataka watu maarufujokate atafute mkaka Mwenye hadhi mjini hawa wabana pua hawamfai
Mapenzi yanaumiza sana.ASA kwa wanawake.ukivuliwa tu hauna thamani.hata uwe nzuri vipi.jichungeni.Y jojo kidoti, hakastahili hyo yte dah [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Wa kawaida sanaaHuyu hapa seven
View attachment 476629
Historia ya washindi wengi wa miss Tz wametusua kimaisha na nyota zao hazifubai kmJacklin, Faraja nk ila ni kinyume kabisa na hawa; Joket na Wema, sijui walikosea step wapiBaada ya kuulizwa kwenye kipindi cha clouds 360 anachukuliaje Ali Kiba na mama yake kumkana kwenye mapokezi ya msanii huyo, mrembo Jokate alijibu "Mimi kila kitu nachukulia positive unaambiwa tenda wema nenda zako, kwanza sitaki kuamini kwamba walimaanisha, labda waliteleza au walikosea script."
Jokate aliongeza yupo single na ameanza kutamani kuwa na mtoto.
View attachment 476614
YaaanUsijal jojo...utapata tu wa kueleweka...tatizo lako pia unapenda kuwadeti masupastaa...
HahahaMimi siamini kuhusu friends with benefits. Wapo karibu muda mwingi ni rahis kwa 7 kuzama mazima. Mpaka jokate kuchapa lapa inawezekana ni serious issue. Hakuna cha position mkishamix malavidavi na kazi
Ahahaaaa.Hahaha
Wala nadhan 7 anamjua vzuri kiba kias kwamba she handles him with care. Hiyo ipo najua.
HahahaAhahaaaa.
Mapenzi ni issue nyingine.
Njoo nikulee basi