KIDESELA
Senior Member
- Sep 26, 2011
- 149
- 91
Mpuuzi grade A+ tatizo la hawa wanajiita mastaa uchwara wa nchi hii eti ukiwa staa lazima uwe na mpenzi staa, mtaendelea kuchezeana mpaka mwisho wa dunia, hata mkioana hamdumu kwa sababu wote mnaishi maisha fake sio halisi, pole Jojo
Njoo kwangu uenjoy furaha ya Maisha
Njoo kwangu uenjoy furaha ya Maisha