Jokate: Ali Kiba ndiyo nani???

Acha utani sasa!....hivi wolper ana shape gani yule mchanaga?

Jojo ana kashepu kazuri na ni mzuri kuliko huyo komba!
 
Hujui tu tulikumisije yaani baada ya kwenda nshapigwa ban km zote hivi

Ilikua ya siku ngapi!![emoji7][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nilikuwa nawaona si unajua mi ni detective Wit!?

Walinibandika la wiki[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Asante mwl Kashasha kwa uchambuzi πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…