Chachasteven
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 1,941
- 2,044
Jokate, mmoja kati ya wanawake waliofanikiwa kutokana na kujihusisha katika nyanja mbalimbali ikiwemo Ujasiliamali, ameweza kutoboa kimaisha baada ya kuingia mkataba na Wachina kwa kampuni yake ya kidoti. Mbali na hapo pia kimziki msanii huyo ameweza kufaulu baada ya kupiga video yake mpya iliyoshinda kwenye Fiesta videos.
Je, Ataweza kumudu cheo hicho?
Je, Ataweza kumudu cheo hicho?