Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Labda toka nao wewe basi uwe mfano akuone. amewaonea wapi na haya maneno hakuyasema?
atawapata wapi?
hapo alipo tu ananuka haja kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda toka nao wewe basi uwe mfano akuone. amewaonea wapi na haya maneno hakuyasema?
Huyu Dai kwa kuropoka kazidi Jamani
Hivi hiki kidada kinajishughulisha na nini hapa mjini ?????? au ndo wale hadi wavuliwe nguo ?????
Natamani Diamond angetoka na mtu kama Diva au Faiza Allh... hahaa halafu waachane, angejuta maana anawaonea hao wasiojua kubwatuka
na hatotokea wa kulijibu
Walijibu ili wakose pa kumtukania diamond thubutuuu, eti mtu anaona ni bora atukane kwanza baadae atafute ukweli wa habari! Hahahaaa ni aina ya watu waliochanganyikiwa.
Mi sikajui vizuri haka kadada huna nakasikia tu mara kapita mtu mrefu kuliko wote TZ kwa hiyo kwa sasa katakuwa na korongo hivi ni ya kweli haya???????Yani kweli hujui Jokate ana vitega uchumi gani au hujuinkabisa anafanya nini au unafumbwa na ushabiki ndugu yangu?
jokate ni makombo tuu kama yalivyo makombo mengine.....
Abishee ila huo ndio ukweli...
Mi sikajui vizuri haka kadada huna nakasikia tu mara kapita mtu mrefu kuliko wote TZ kwa hiyo kwa sasa katakuwa na korongo hivi ni ya kweli haya???????
Jokate ana host tv shows hadi South(cho), kama sijakosea.
Ni mc kwenye events kibao.
Ana kampuni iliingia kwenye mkataba wa mabilioni na wachina miez michache nyuma(kidoti)
Anaimba vizuri tu wimbo wake mpya unaitwa leo leo.
Ana design,Msomi wa chuo kikuu.
Kuhusu korongo ungemuuliza mwanamke yetote kwenye familia yako, nadhani atakua na jibu zuri nadhani pia kwa vile wao ni wanawake afu sio mabikra wana uzoefu.
Dharau mbaya sana.
Kumwita dada wa watu makombo, now unagongelea kuwa ni korongo unadhani ni sifa? La hasha ni ukosefu wa staha na nidhamu kwa wanawake.
Hajakukosea kitu, hajafanya jambo la ajabu kujisafisha.
Ni mzuri sana na ana mafanikio makubwa kiuchumi hata ukimtukana haimpungizii kitu.
Usiseme diamond hana mda mchafu, anayeturambishaga ndimu nani? Mtoto mswahil yule sijaona
Jokate ana host tv shows hadi South(cho), kama sijakosea.
Ni mc kwenye events kibao.
Ana kampuni iliingia kwenye mkataba wa mabilioni na wachina miez michache nyuma(kidoti)
Anaimba vizuri tu wimbo wake mpya unaitwa leo leo.
Ana design,Msomi wa chuo kikuu.
Kuhusu korongo ungemuuliza mwanamke yetote kwenye familia yako, nadhani atakua na jibu zuri nadhani pia kwa vile wao ni wanawake afu sio mabikra wana uzoefu.
Dharau mbaya sana.
Kumwita dada wa watu makombo, now unagongelea kuwa ni korongo unadhani ni sifa? La hasha ni ukosefu wa staha na nidhamu kwa wanawake.
Hajakukosea kitu, hajafanya jambo la ajabu kujisafisha.
Ni mzuri sana na ana mafanikio makubwa kiuchumi hata ukimtukana haimpungizii kitu.
hivi diamond aliyatamka lini na wapi hayo maneno? au ndo ushabiki maandazi tu
Sijui hili swali limesha jibiwa?
nilisema hatotokea wakulijibu,