Jokate ana host tv shows hadi South(cho), kama sijakosea.
Ni mc kwenye events kibao.
Ana kampuni iliingia kwenye mkataba wa mabilioni na wachina miez michache nyuma(kidoti)
Anaimba vizuri tu wimbo wake mpya unaitwa leo leo.
Ana design,Msomi wa chuo kikuu.
Kuhusu korongo ungemuuliza mwanamke yetote kwenye familia yako, nadhani atakua na jibu zuri nadhani pia kwa vile wao ni wanawake afu sio mabikra wana uzoefu.
Dharau mbaya sana.
Kumwita dada wa watu makombo, now unagongelea kuwa ni korongo unadhani ni sifa? La hasha ni ukosefu wa staha na nidhamu kwa wanawake.
Hajakukosea kitu, hajafanya jambo la ajabu kujisafisha.
Ni mzuri sana na ana mafanikio makubwa kiuchumi hata ukimtukana haimpungizii kitu.