Ww mleta mada ndo umemlisha maneno hayo, alchokisema yule kdot n kuwa ile clip alirekodiwa na Seth na akairusha kwa Mond bin Laden miaka huyo, so by that time bikira wa kisukuma hakuna na makosa yyte yale alofanya alchotakiwa kukifanya, issue imekuja kwa Mond kuunganisha matukio na kuipost hyp sasa, Joket anajiham ili ali Kiba asijue kama bado anamapemz na kaz za Ex wake dats y kaandika ule waraka, Diamond hana kosa wala bikira mwenye makosa na huyu mdada anaejifanya kuchukia vitu akat aliwah vipenda na records akaweka