jamaa umejibu poa sana,unajua watu wamekua kama majuha eti sababu ya timu zao hata mtu wao akikosea wanasema yupo sahihi wakati huohuo wanataka uzalendo,kwan ilikuwa lazima mtoto jojo amsupport jamaa kwa kumpost,au nn yeye pekee ndio alilazimika kumpost chibu, Kikweli mm sijawahi kuona hao jamaa alioowataja wakiaambia watu wampigie kula davido..yaani watu wanahulka kama bado tupo utumwani..
Acha kuidhalilisha epl na hawa mapimbihizi ligi ni kama na angalia EPL kwani mwisho wa siku mshindi atajulikana tu!
Ni mswahili ndio!
Wa tandale ndio!
Ana mafanikio lukuki ndio!
Na Jana kachukua tuzo ya MTV
Una lingine?
Mbona sijaona iyo snitch