BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
tupishe apa na wewe , angekuwq hana akili ungemvulia chupi ? we ndo huna akili nfyuuu
wewe tu... mbona nishakupa jibu tayari; au unataka nikutafunie kabisa hadi wenye mapengo wakunyang'anye tonge!dah!!ntakupata tu we twende tuu!!!
Na wewe mwenzangu chako ni cha wapi? cha kiinteneshno au cha akina sie cha "zis izi namba srii!" kama ticha ni mnoko akauliza kwa ukali "whaaaaat?" chap chap unarekebisha "zis is namba frii...!" shida yote ya nini hadi ujing'ate meno kisa tu kulazimisha kuongea kiinteneshno "thrii"
wewe tu... mbona nishakupa jibu tayari; au unataka nikutafunie kabisa hadi wenye mapengo wakunyang'anye tonge!
Basi nitakutafunia halafu nikutemee mdomoni kabisa... unasemaje?we twende tu sinyang'anywi wala nini ila itafahamika tu
What's wrong for Mr.Dangote even if you should detective he was Northing why u have keep trust N.ß Delivery its virtal if you has been thinking creatically.D keep it up 4 way Forward with any awfully matter.
hahasaas mi ka wewe "the car is on the basket*
the tebo iz anda the chair"
Aisee wamekusimanga hadi basi yaani... lakini nimecheeeeeeeki, nikagundua umejitahidi somo manake maneno yote ni ya kidhungu... anaebisha mwambie akutajie angalau neno moja la kiswahili hapo!What's wrong for Mr.Dangote even if you should detective he was Northing why u have keep trust N.ß Delivery its virtal if you has been thinking creatically.D keep it up 4 way Forward with any awfully matter.
Kwake yeye hizi ndo akili anazopaswa kuwa nazo mwanamke... kulikuwa na ulazima gani wa kuutangazia umma kwamba anapokuwa na bwana ake chumbani anapenda kukaa uchi... hivi haoni kaka zake akina Constantine wakisoma habari kama hizi involuntarily picha ina-flash vichwani mwao!!!
What's wrong for Mr.Dangote even if you should detective he was Northing why u have keep trust N.ß Delivery its virtal if you has been thinking creatically.D keep it up 4 way Forward with any awfully matter.
Na wewe mwenzangu chako ni cha wapi? cha kiinteneshno au cha akina sie cha "zis izi namba srii!" kama ticha ni mnoko akauliza kwa ukali "whaaaaat?" chap chap unarekebisha "zis is namba frii...!" shida yote ya nini hadi ujing'ate meno kisa tu kulazimisha kuongea kiinteneshno "thrii"
tupishe apa na wewe , angekuwq hana akili ungemvulia chupi ? we ndo huna akili nfyuuu
Aisee wamekusimanga hadi basi yaani... lakini nimecheeeeeeeki, nikagundua umejitahidi somo manake maneno yote ni ya kidhungu... anaebisha mwambie akutajie angalau neno moja la kiswahili hapo!
Na wewe mwenzangu chako ni cha wapi? cha kiinteneshno au cha akina sie cha "zis izi namba srii!" kama ticha ni mnoko akauliza kwa ukali "whaaaaat?" chap chap unarekebisha "zis is namba frii...!" shida yote ya nini hadi ujing'ate meno kisa tu kulazimisha kuongea kiinteneshno "thrii"
What's wrong for Mr.Dangote even if you should detective he was Northing why u have keep trust N.ß Delivery its virtal if you has been thinking creatically.D keep it up 4 way Forward with any awfully matter.