Jokate: Diamond hana akili timamu

Yohana Mazengo katufungulia mwaka kwa style ya aina yake aseeh mi nimempenda kwa kweli, inabidi aingie kwenye club yetu ya maubuyu anafaa sana kwa kweli maana itakuwa shidaaa

Heheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Last edited by a moderator:

Haya mengine ni maradhi kama maradhi mengine na yanatibika.

Haya nenda kaniongezee umaarufu kwa Sintah dot com
 
Last edited by a moderator:
Haya mengine ni maradhi kama maradhi mengine na yanatibika.

Haya nenda kaniongezee umaarufu kwa Sintah dot com
Aliyekuambia ana maradhi ni nani? The guy is only 25/26... kuna wangapi wana umri kama huo tena zaidi ya hapo na hawana watoto? Unataka kuniambia wote hao ni wagumba. Nimewatajia aina ya mademu wa Chibu ambao wote hao hamna hata mwenye mtoto ambao mtu akitaka kutumia ubongo wake sawa sawa mara moja atagundua ni aina ya wanawake ambao akili yao yote ipo kwenye kuponda ujana... kwa sababu haiwezekani mwanamke ambae ameshapita hapa na pale kwa zaidi ya miaka minane kote huko awe hajawahi kupata mimba! Lakini kwa kuwa hobbie yako ni kutangaza madhaifu ya wanaume wenzako ukaacha kuichambua list niliyokutajia ukarukia kwa Zari as if unatembea na kipima ujauzito wa Zari!!!!!

By the way, hivi post za kwangu na za kwako ni za nani zina hadhi ya kuwa sintah.com? Hivi za kwako za kutangaza umalaya na ugumba wa wanaume wenzako huoni ndo zenye hadhi ya kuwa sintah.com ukilinganisha na za kwangu zinazosema ni aibu kwa mmwanaume kushupalia umalaya na ugumba wa mwanaume mwenzako?
 
What's wrong for Mr.Dangote even if you should detective he was Northing why u have keep trust N.ß Delivery its virtal if you has been thinking creatically.D keep it up 4 way Forward with any awfully matter.
Duh! Hapa unajielewa binafsi unachomaanisha.
 
Haya haiyaa!!Nasikia chibu kampa Zari kimimba!!sijui kweli sijui kiki...
 
am so sorry guys when this post my it was on my friend.
Sidhan mm na akil zang niandke k2 ambacho hata mm cjaelewa nn amekiandka dogo.

dogo,yaani uache tu kutumia lugha ya watu..hata ulichoandika hapa hakieleweki vilevile...andika tu kwa lugha yako plz...
 
Am so sorry guys when this post my it was on My friend.
Sidhan mm na akil zang niandke k2 ambacho hata mm cJaelewa nn amekiandka Dogo.

Heeee wewe ni JK???...."I want to spiki kiswahili so that I am rich ol the tanzanian who can listen swahili me very well beta...hehehe u no bhana hehehe"....2011 at Ngurdoto...
 
Jamaa kasha wa..ti..a hamna mana tena,mume wenu yule alafu nilikuwa nakupendaga ww kidoti dah ningekupa jiwe la hatare ww bas tu!
 
What's the wrong of Diamond
If kuweka ukwel ishakuwa tatzo bas m2 anae kudundulika hana akil ni Kdot coz alimvulia chup that's means she was trust him why Leo amwambie hana akili this iz my Fact.

Kwani wewe kijana,uliambiwa ili uwe great thinker lazma uandike hiyo lugha ya benyewe?yaani umekua kituko kituko pptuuuu!!acha kujifanya unaijua.we ongea kiswahili tu huku kujitutumua na lugha ya wenyewe unajichoresha tu huelewiii
 
Wangemuuliza Kwanza Ili Kuaje Mpaka Akakubali Kumpanulia Miguu Mtu Ambaye Ni Chizi Hasie Na Akili.
Au Na Yeye Ni Chizi Freshi?
 
Am so sorry guys when this post my it was on My friend.
Sidhan mm na akil zang niandke k2 ambacho hata mm cJaelewa nn amekiandka Dogo.

ha ha ha kwahiyo hapa ndo umeandika wewe sio rafiki ako!!!
nmecheka sana umebadilisha thread sio ya jokate tena ni yako msalmie rafiki ako
 
kuachwa kubayaaaaaaaaaaaa! hana jipya tena jokate kafuliaaaaaa!
 
kuachwa kubayaaaaaaaaaaaa! hana jipya tena jokate kafuliaaaaaa! keshatiwaa akipeleke hukooooo
 
Mnatiririkaaaa, as if mmesahau kuwa Global publishers kazi yao ni kukaanga mbuyu na kuachia wenye meno mtafune.
 
tupishe apa na wewe , angekuwq hana akili ungemvulia chupi ? We ndo huna akili nfyuuu

ni kweli hana akili timamu namuunga kisigino jokate sio kila jambo lazima lipelekwe kwenye media awe anaangalia cha kupeleka
 
wabongo bana ili aonekane wa mjini mpaka atupie ka inglish kaliko vunjika ni hatare
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…