Jokate: Hashim Thabit mtamu kuliko wanaume wote Bongo. Diamond siku-enjoy sana

Jokate: Hashim Thabit mtamu kuliko wanaume wote Bongo. Diamond siku-enjoy sana

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304


Miss Tanzania Namba 2 Mwaka 2006, Jokate Mwegelo maarufu kama Kidoti amesema kuwa katika mahusiano yake ya kimapenzi alitokea sana kumzimikia Hasheem Thabit kuliko Wanaume wote aliowahi kutoka nao kimapenzi Bongo.

Akizungumza na Gazeti la Kiu, Kidoti amesema kwa sababu ambazo amezihifadhi moyoni mwake Hasheem alikuwa na vitu adimu sana ambavyo hawezi kuvitaja.

Kuhusu Diamond ambaye pia amewahi kutoka naye, Kidoti amesema haku-enjoy naye kwani yalikuwa mapenzi ya muda mchache sana.
 
Wala hajaujua utamu anasema tuu sababu anasikia watu wanasema au anataka kumpaka mavi Dai, yeye hajiulizi kinachomfanya akaachwa na mabwana ,ataishia kusifia wanaume tuu watamu yeye amesifiwa na nanini mtamu au hodari wa machezo....
 
Kuna mtu alishawahi niambia Hashim hogo lake ni sawa sawa na CHARLIE MAC XXX m Google muone tofauti ila mwenye list ya Hashim atupe
 
Back
Top Bottom