Jokate: Hashim Thabit mtamu kuliko wanaume wote Bongo. Diamond siku-enjoy sana

Jokate: Hashim Thabit mtamu kuliko wanaume wote Bongo. Diamond siku-enjoy sana

Saiz c yupo na mtu wetu wa nguvu huenda atatuliza K yake chini.....

kama wewe ndio milard ayo unasikia baby wako kakutaja wewe na wanaume wenzako bongo sio watamu isipokua hasheem utajisikiaje
 
Ndo akili za kitanzania hizi hadi viongozi wetu...inareflect maisha ya wengi
 
Wala hajaujua utamu anasema tuu sababu anasikia watu wanasema au anataka kumpaka mavi Dai, yeye hajiulizi kinachomfanya akaachwa na mabwana ,ataishia kusifia wanaume tuu watamu yeye amesifiwa na nanini mtamu au hodari wa machezo....

Mkuu umemaliza
 
Hashim ukikutana naye lazima kizazi kisogee, hongera zake Jojo.Wanaume mmereact kunaniii...mnamaanisha jokate ana rambo mnasahau ile kiungo ni elastic! Kama sivyo ina maana Hashim anawapa mabinti ulemavu wa maisha au?
 
Back
Top Bottom