Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Unamdhalilisha Rais wa WilayaHuyu mtoto malaya sijawahi kuona daaah..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamdhalilisha Rais wa WilayaHuyu mtoto malaya sijawahi kuona daaah..
Umekomaa na hizo ndwele au hii ndiyo ID yako ya kujitetea?Hii thread ilianzishwa kabla ya sheria mpya ya makosa ya mitandao...
Muacheni agange yajayo... yaliyopita sii ndwele...
Cc: mahondaw
Duh, yan hapo ushawaza tu dushe refu!Hashim kimuonekano anaonekana tu mtamu... akikukunja lazima uombe pooo
Na huyu wa sasa vipi ha enjoy nae ?
Miss Tanzania Namba 2 Mwaka 2006, Jokate Mwegelo maarufu kama Kidoti amesema kuwa katika mahusiano yake ya kimapenzi alitokea sana kumzimikia Hasheem Thabit kuliko Wanaume wote aliowahi kutoka nao kimapenzi Bongo .
Akizungumza na Gazeti la Kiu, Kidoti amesema kwa sababu ambazo amezihifadhi moyoni mwake Hasheem alikuwa na vitu Adimu sana ambavyo hawezi kuvitaja.
Kuhusu Diamond ambae pia amewahi kutoka nae, Kidoti amesema hakuenjoy nae kwani yalikuwa mapenzi ya muda mchache sana.
Unapenda kukunjwa eeh??Hashim kimuonekano anaonekana tu mtamu... akikukunja lazima uombe pooo
[emoji23] [emoji23] [emoji85]With my dirty mind, napata picha jinsi Msukuma anavyopwelepwetwa
Kuna mzee mapenzi ameyajulia ukubwani sasa hivi ndiyo mmilikihivi kuna mwanaume ambaye anaweza kuwa na huyo demu na akasema sasa amepata wife
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna mzee mapenzi ameyajulia ukubwani sasa hivi ndiyo mmiliki
HakikaSaiz c yupo na mtu wetu wa nguvu huenda atatuliza K yake chini.....
Jiwe kafa kaozahivi kuna mwanaume ambaye anaweza kuwa na huyo demu na akasema sasa amepata wife
Njoo futa kauli huku, mambo si mambo tenaUna ramboooooooo!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mi nna mua!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hujalala bado![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Shiiiiiiiiiiiiiiiamekosa hekma
Nautafuta uteuzi huku JF kwa udi na uvumba..[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] hujalala bado!