Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haina problemaaKila la kheri, ukiwa unarudi mjini usisahau kuja na mihogo.
Popote kuanzia Pugu kajiungeni hadi Gomz unaweza kunipata na kuniachia zawadi hiyo
Bibie kwema?Sana tu Kate Kate yuleee[emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji117] mkuu wa wilaya
[emoji12] [emoji12]Kuna mzee mapenzi ameyajulia ukubwani sasa hivi ndiyo mmiliki
ina maana cheupe madini ..keshamuacha?? au ndo chain??Jiwe kafa kaoza
Kigogo umepotelea wapi?Huyu mtoto malaya sijawahi kuona daaah..
So now mnafukua makaburi yake eeeh?
Kuna kitu kinaitwa moving on. Unakaa chini unaongea na moyo wako. Unakubali kwamba kuna mahali ulikosea. Unajisamehe na unabadilisha maisha yako.
I believe Jokate alifanya hivyo na akaamua kubadili maisha yake. Akaanza ujasiriamali na akaweka discipline flani katika maisha yake ya kutoanika love life yake.
See? Imemzalia matunda and now she is shining.
Tumtakie mema katika position yake mpya ya kuwatumikia wananchi.
Go girlie. Aim Higher.
So now mnafukua makaburi yake eeeh?
Kuna kitu kinaitwa moving on. Unakaa chini unaongea na moyo wako. Unakubali kwamba kuna mahali ulikosea. Unajisamehe na unabadilisha maisha yako.
I believe Jokate alifanya hivyo na akaamua kubadili maisha yake. Akaanza ujasiriamali na akaweka discipline flani katika maisha yake ya kutoanika love life yake.
See? Imemzalia matunda and now she is shining.
Tumtakie mema katika position yake mpya ya kuwatumikia wananchi.
Go girlie. Aim Higher.
Mnhh!! Kweli!?Sijui kwanini nikiaona Nyuzi za Hashimu SABITI huwa napata ganzi sana yaani naona HASHIMU SABITI ni LUZA yaani FAILURE,yaani ametoka kupata zaidi ya Bilioni 10 kwa mwaka mpaka Sifuri.
Mbona karudi NBA?Sijui kwanini nikiaona Nyuzi za Hashimu SABITI huwa napata ganzi sana yaani naona HASHIMU SABITI ni LUZA yaani FAILURE,yaani ametoka kupata zaidi ya Bilioni 10 kwa mwaka mpaka Sifuri.
With my dirty mind, napata picha jinsi Msukuma anavyopwelepwetwa
Karudi lini na anachezea Team gani?Mbona karudi NBA?
Atakuja kuwa DC siku za usani huyo...teh..Huyu mtoto malaya sijawahi kuona daaah..