Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Mbona karudi NBA?
Hakuna NBA anayoweza kucheza kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona karudi NBA?
Kule NBA Hana Tena nambaHakuna NBA anayoweza kucheza kwa sasa.
Mkuu taratibu anaweza sikia yule "jamaa"Dah!
Lakini huyu binti amepigwa sana miti na watu wengi tofauti tofauti na maarufu.
Kama bado hajaungua, atakuwa na bahati ya mtende.
Jamaa fala sana hili. Likitakiwa kuwa bilionea la tz limeleta usenge hadi limeshuka na kuwa shilingionea.Sijui kwanini nikiaona Nyuzi za Hashimu SABITI huwa napata ganzi sana yaani naona HASHIMU SABITI ni LUZA yaani FAILURE,yaani ametoka kupata zaidi ya Bilioni 10 kwa mwaka mpaka Sifuri.
Kule NBA Hana Tena namba
Akina class mate wenzake akina steph na harden washaanza itwa veteran
Zama za akina ZION,ja Morant hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe kigogo we ni wa kitamboHuyu mtoto malaya sijawahi kuona daaah..
kumbe kigogo we ni wa kitambo
huyu jamaa naona wali mla Bann moja matataaa na inaonekana kuna mod alkua anampa sana hizi mpka kuna uzi ame lala mika kupewa ban na ni wakitambo iko
Mkuu upo? Umeadimika sana aiseeHuyu mtoto malaya sijawahi kuona daaah..
Yupo wapi? Hiyo ID haipo sahivi.Mkuu upo? Umeadimika sana aisee
huyu jamaa naona wali mla Bann moja matataaa na inaonekana kuna mod alkua anampa sana hizi mpka kuna uzi ame lala mika kupewa ban na ni wakitambo iko
Hahaaa na sana ni "TUNALIONEA" lijinga sana lile TOLU.Jamaa fala sana hili. Likitakiwa kuwa bilionea la tz limeleta usenge hadi limeshuka na kuwa shilingionea.
Ja Morant mshenzi sana huyu dogo. Kuna mechi na lakers alifanya steal wakati anadrib mpira akajifanya anampasia refa mdada, defence ya lakers ikapeleka macho kwa refa dogo akapiga easy layup.Anajua, halafu ana zile za kupenya bila kuogopa kama alivyokuwa anacheza Allen Iverson, noma sana.
Ohoooo!!!!Dah!
Lakini huyu binti amepigwa sana miti na watu wengi tofauti tofauti na maarufu.
Kama bado hajaungua, atakuwa na bahati ya mtende.
Ja Morant mshenzi sana huyu dogo. Kuna mechi na lakers alifanya steal wakati anadrib mpira akajifanya anampasia refa mdada, defence ya lakers ikapeleka macho kwa refa dogo akapiga easy layup.
Yuko wapi now?Hakuna NBA anayoweza kucheza kwa sasa.
Yuko wapi now?