Jokate: Hashim Thabit mtamu kuliko wanaume wote Bongo. Diamond siku-enjoy sana

Jokate: Hashim Thabit mtamu kuliko wanaume wote Bongo. Diamond siku-enjoy sana

[emoji23] [emoji23] [emoji23] uteuzi wa kupendwa na wabebs ushapataa...!!wa mheshimiwa hapana!!labda miye
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kazi kwako, hekima ni jambo la muhimu, sijui huyu kaipata maana uliwahi kusema hana...
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kazi kwako, hekima ni jambo la muhimu, sijui huyu kaipata maana uliwahi kusema hana...
[emoji3][emoji3][emoji16]watu hawaangalii hayo kaka!tulishasema ila ndo ashapewa

Acha tudate na biti!!!
 
Pale kati patamuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Jalada la kitabu lilivyo nalo linasadifu kwa kiasi fulani yaliyomo...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jalada la kitabu lilivyo nalo linasadifu kwa kiasi fulani yaliyomo...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji85]
 
Tusisahau kuwaunga mkono kwenye utekelezaji wa mjukumu yao...
Ndilo lililobaki hilo hapa nna mpango wa kuhamia kisarawe nkamsaidie shosti yangu!
Nnachompenda Mimi IG anajibu kila mtu hana maringo
 
Ndilo lililobaki hilo hapa nna mpango wa kuhamia kisarawe nkamsaidie shosti yangu!
Nnachompenda Mimi IG anajibu kila mtu hana maringo
Kila la kheri, ukiwa unarudi mjini usisahau kuja na mihogo.

Popote kuanzia Pugu kajiungeni hadi Gomz unaweza kunipata na kuniachia zawadi hiyo
 
Back
Top Bottom