Jokate: Hashim Thabit mtamu kuliko wanaume wote Bongo. Diamond siku-enjoy sana

Jokate: Hashim Thabit mtamu kuliko wanaume wote Bongo. Diamond siku-enjoy sana

aka nako kachafu bana.sasa kama mtamu si tufanyeje?uhuni uo
 
So now mnafukua makaburi yake eeeh?

Kuna kitu kinaitwa moving on. Unakaa chini unaongea na moyo wako. Unakubali kwamba kuna mahali ulikosea. Unajisamehe na unabadilisha maisha yako.

I believe Jokate alifanya hivyo na akaamua kubadili maisha yake. Akaanza ujasiriamali na akaweka discipline flani katika maisha yake ya kutoanika love life yake.

See? Imemzalia matunda and now she is shining.

Tumtakie mema katika position yake mpya ya kuwatumikia wananchi.

Go girlie. Aim Higher.
 
So now mnafukua makaburi yake eeeh?

Kuna kitu kinaitwa moving on. Unakaa chini unaongea na moyo wako. Unakubali kwamba kuna mahali ulikosea. Unajisamehe na unabadilisha maisha yako.

I believe Jokate alifanya hivyo na akaamua kubadili maisha yake. Akaanza ujasiriamali na akaweka discipline flani katika maisha yake ya kutoanika love life yake.

See? Imemzalia matunda and now she is shining.

Tumtakie mema katika position yake mpya ya kuwatumikia wananchi.

Go girlie. Aim Higher.
Mbona umepaniki..kuna mtu kaongea kuhusu uteuzi kwenye huu uzi??
 
Back
Top Bottom