Jokate hatoweza kulea mzigo wa watoto 3 wa Alikiba

Hii itakuwa idara ya figisu figisu kutoka madale maana mpo wengi halafu wengine hawana cha maana wanachofanya(chawa)
 
Sasa zari naye Ana watoto mbona simba katulia mi sioni shida apo
 
Tuachen wa mambo yasiotuhusu. Mapenzi ya watu wawil wewe inakuhusu nn baki na wako kama wengine wavyobaki na wao
 
Kua mwanaume ni zaidi ya kuning'iniza hii biology na kengele zake katikati ya miguu ila ni matendo na tabia zinatoa tafsiri zaidi,watoto wa kiume wanaiga tabia za dada zao kwa kasi ipo haja kujitazama upya kwenye aina ya malezi tunayowapa watoto wetu maana kesho wavulana kusengenyana.
 
Sawa msemaji wa familia ya Jokate
 
Timu mondi naona mmeanza kuchanganyikiwa mpaka mnapanga skendo hewa?
 
mtoa mada anaona wivu jojo anavyoukalia anataka aukalie yeye
 
Kama alieandika hii thread ni mwanaume basi ni mashaka matupu kwakweli
Zari ana watoto 3 mbona Diamond wala hajali kitu
 
Wanaume wa Dasalamu kwenye ubora wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…