Jokate hatoweza kulea mzigo wa watoto 3 wa Alikiba

Jokate hatoweza kulea mzigo wa watoto 3 wa Alikiba

Ndoa ya ali kiba na jokate ni ngumu kutokea, jokate japo alitoa mimba2 za diamond, lakini kamwe hawezi kuolewa wala kumzalia kiba mtoto 4. Mzigo wa kulea watoto wasio wake tena kijiji (watatu)ni mkubwa.

Namshauri kidoti aachane na kiba na atafute mwanaume alietulia mwenye maisha yake na ambaye hana watoto kijiji. Mana hao mama za hao watoto watakusumbua.

Diamond alitaka kukuoa, hukakataa kumzalia sababu eti utaharibu ujana wako, ukapewa mimba2 ukatoa. mama unakuwa mzee, tafuta wa kutulia nae. kina callista hawatakufikisha popote. Mwisho wa siku ukizembea utakuwa kama wemasepetu.

Kajiandae tuje tucheze kokoro.

Jokate kitakachomponza ni kuona kwamba yuko liberal kuliko misingi. Hao waatu huzaa kama mende kwa sababu hawana gharama ya kutunza watoto. Kwa asili huwa hawana mawazo ya elimu zaidi ya kugombania vyeo bila misingi.

Hiyo ni asili japo kuwa kuna baadhi wameanza kustaarabika na kuona mbele.

La msingi arudi kwenye msingi. Kinyume cha pale, kikombe cha wema hatakikwepa.
 
Hakuna uganga Juu ya Yakobo wala uchawi Juu ya Israel
 
Uyu mtoa thread ye kaona humu JF ni kama Instagram vile
 
zari ana watoto wa ngapi kwani? na hao watoto ni wa baba 1 ?
 
Jamani vepee hakuna vya kuandika?mtu akiwa shoga anapondwa mtu akifumua vipachupachu anapondwa acheni uthenge,tumewachokaaa...mwengine usikute mama yake aliolewa km mke wa tatu alafu anaponda ma lov ya watu
 
Back
Top Bottom