Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakumbuka rungu.
Yaani hapo amerusha jiwe gizani kwa Kiba kwamba na yeye ni mtu wa hovyo na ikitokea The tall Hasheem akamtaka basi kiba aandika maumivu.Kujutia kuvunjika kwa mahusiano yako yaliyopita wakati upo na mwingine kwa sasa, ni kosa ktk kanuni ya mapenzi,tena mbaya zaidi analiongelea hilo hadharani.
Hahaa kwa hiyo unataka kusema andunje wote ni vibamia.ni lazima aseme hivyo kwani kwa urefu ule ni lazima Thabiti atakuwa na ndunga kama mkono wa mtoto,hao wanaofuatia lazima watakuwa wanamgusa gusa tu
kibiologia uhusiano huo upo ni mara chache sana kumkuta mtu mrefu sana ana kibamiaUrefu wake wake sidhani kama unahusiano na urefu wa maumbile ya jinsia.
kuna baadhi ya emolo mwili umehamia huko chiniHahaa kwa hiyo unataka kusema andunje wote ni vibamia.
bi dada umepotea ,Show biznez.
Tall alisoma UDSM mwaka gani na ni mazingira gani yaliwakutanisha wakafahamiana?Huyu mwanamke alinikera toka siku alipomtosa mshikaji wangu wakati anasoma UDSM, Jamaa alikua kampenda kwa dhati kabisa akamwambia tena kwa manjonjo " You know (jina la mshkaji) am a super star, hata nikikukubali hutoweza kunitoa out, mana out zangu ni Kenya, South africa na Europe, sasa wewe unategemea boom na unajua tukitoka mapaparazi watatufuatilia" dah hili jibu lilikua kiboko.
Ila alimsaidia kumwambia ukweli kuliko angemkubalia alafu awe anamsaditi na mastaa wa bongoHuyu mwanamke alinikera toka siku alipomtosa mshikaji wangu wakati anasoma UDSM, Jamaa alikua kampenda kwa dhati kabisa akamwambia tena kwa manjonjo " You know (jina la mshkaji) am a super star, hata nikikukubali hutoweza kunitoa out, mana out zangu ni Kenya, South africa na Europe, sasa wewe unategemea boom na unajua tukitoka mapaparazi watatufuatilia" dah hili jibu lilikua kiboko.
Hata mi nawaza hivyohvyo....au inawezekana yupo single[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Haya maneno mwenza wake aliyekuwa nae hv sasa, huko alipo sijui anajisikiaje
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Hii ni dharau ya kiwango cha juu sana, haijawahitokea ulimwengu huu."Vitu vya kijinga like dating diamond"