Jokate: Kuachana na Hasheem Thabeet kilikuwa ni kitu kibaya zaidi kutokea kwangu

Jokate: Kuachana na Hasheem Thabeet kilikuwa ni kitu kibaya zaidi kutokea kwangu

Wewe piga proportional tu apewe kitu saiz ya urefu wake utaelewa watu wanazungumza nini.mfano demu akuwa mreefu unadhani arakywa na k fupi?
Yaani k inaishi kitovuni kwake mazee sasa kama we kibamia utapotea na mambupu yako!
Kwa wanawake warefu nakubaliana na wewe 100% wengi wapo hivo
 
Jokate bana alikuwa msiri na mambo yake ss sijui kimemkumba nn sasa hivi..yani ni zaidi ya wema asee
 
[emoji3] [emoji3] mkuu si kasema hasherm ndo alikuwa first love wake ndo aliezindua mradi si wanasemaga wakwanza huwa hasauliki?
mkuu na ww huja elewa kumbe,
kasema hivi, "he was my first real love" it means that walikuepo(alikuepo) wengine kabla ya hasheem.......
 
<<<Naomba Namba zake jokate Nimpe POLE yake sikuyajua haya daah kumbe anaumia ,mapenzi bwana analilia lile jitu la futi 7 ili hali joket ft 3.5 ilikuwa inamfika nn >>>
 
hayo maneno ya jokate kuna watu hawajawahi kuambiwa na wapenzi waoo hataa, then mtuu unabembelezwa hivyoo

haya mapenziiii nimeyavulia shatiiii sio underwear
 
Kuisifia timu ulioisha chezea na sasa hivi una timu nyingine hao viongozi na mashabiki wa timu wataona kama unaokandia timu yao.
 
Huyu mwanamke alinikera toka siku alipomtosa mshikaji wangu wakati anasoma UDSM, Jamaa alikua kampenda kwa dhati kabisa akamwambia tena kwa manjonjo " You know (jina la mshkaji) am a super star, hata nikikukubali hutoweza kunitoa out, mana out zangu ni Kenya, South africa na Europe, sasa wewe unategemea boom na unajua tukitoka mapaparazi watatufuatilia" dah hili jibu lilikua kiboko.

ahaaa ndio dawa wapaka poda mmezd
 
Huyu Jokate anampigia kampeni Hasheem ili Tall aonekane kuwa rungu lake ni tamu... ili wadada watafutaji wakatoe bure
 
Huyu mwanamke alinikera toka siku alipomtosa mshikaji wangu wakati anasoma UDSM, Jamaa alikua kampenda kwa dhati kabisa akamwambia tena kwa manjonjo " You know (jina la mshkaji) am a super star, hata nikikukubali hutoweza kunitoa out, mana out zangu ni Kenya, South africa na Europe, sasa wewe unategemea boom na unajua tukitoka mapaparazi watatufuatilia" dah hili jibu lilikua kiboko.
Yaani mwanao aliambiwa ukweli wewe roho ikakuuma....hama kweli wabongo tunapenda kuambiwa uongo.
 
Itakuwa Ali hajui kuonga kama alivyokuwa ngongoti.
 
Kiba akisikia anajisikiaje? ila hawa kwa movie huchelewi kumsikia akisema Zari ndie namfeel zaidi na ndio maana nimeamua kumpa mimba aliyonayo sasa hivi... na Mwache Mondi anichukie tu maana nilichomfanyia kimempata... Maana ukisikia paa ujue
mkuu umeniua[emoji3] [emoji3]
 
Back
Top Bottom