Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa africa lazima tumpongeze..maana angeamua angetumia muda wake mwing kunitengenezea maisha yake binafsi..na usingemfanya chochote...ila angalau kafanya hamasa na jambo fulan.mbona wengne hawafanyMtu anapongezwa kwa kufanya kazi zake??
Postman akifikisha barua au mzigo mahali husika tunahitaji kumpongeza?
Jifunze kupongeza sio kila siku kulaumu. Wewe umekulia familia gani? Umepata malezi gani hadi ushindwe kuona mazuri ya mwenzio? Angeamua angekuwa Kama Sabaya au Ali Hapi.Mtu anapongezwa kwa kufanya kazi zake??
Postman akifikisha barua au mzigo mahali husika tunahitaji kumpongeza?
hiyo ni tamaduni yao. hata kwenu bara unakotoka kuna kitu mnapenda, labda pombe, ngono etcHongera zake...
Ila huko nawakubali kwa ngoma maana kuna wakati watu muda wote wako ngomani
Ova
Kuna tetesi mama anampiga chini?Why promo?
Hii sawa na kumsifu mama Amina kwa kumhudumia Amina. Jukumu la Jokate kufanya kazi yake
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Mji wa Kisarawe unakuwa taratibu kwa sababu ya kuzungukwa na hifadhi za msitu na kambi za jeshi hivyo kuzuia ujenzi wa makazi. Ingekuwa vyema makao ya halmashauri yangesogezwa mbele Kama vile Masaki ambapo ndio karibu kufikika na vijiji vyengine na bado kuna maeneo mengi yanayoruhusu ujenzi was makazi na ofisi.Ule mji unakuwa taratibu mno
Mkuu, umesahau kuwa mama anaandaa orodha ya wakuu wa wilaya wapya!!!?Amekutuma umpigie promo?
Nimekuuliza swali Postman akifikisha barua mahali pake anahitaji pongezi?Jifunze kupongeza sio kila siku kulaumu. Wewe umekulia familia gani? Umepata malezi gani hadi ushindwe kuona mazuri ya mwenzio? Angeamua angekuwa Kama Sabaya au Ali Hapi.
Itabidi ahamishiwe Chato kwa uangalizi zaidi wa ile futi sita na kujenga kibanda kizuri ili amuenzi kwa ukaribu.Sijui Mkuu wa Wilaya ya Chato tutasemaje maana yeye kapeleka mpaka uwanja wa ndege.
Although unachosema ni kweli sababu anachofanya kama DC ni kazi aliyopewa kuifanya nothing much lakini pongezi pia hutolewa kama motisha ya kazi kuwasukuma wengine waige mfano ndio maana hata Mei Mosi anapotajwa mfanyakazi bora hupewa zawadi kama motisha na sio kama zawadi ya kufanya kazi.Nimekuuliza swali Postman akifikisha barua mahali pake anahitaji pongezi?
Kwa jinsi hii tuna safari ndefu sana! Last year nilikua Norway kwenye project yao ya daraja kwenye ziwa Mjøsa ! Ajabu sikuona mapambio hasa ukizingatia teknolojia na uzuri wa lile daraja utakavyokua! Sababu ni nini?
Hakuna haja ya kupongeza kazi ambazo mtu anafanya na ziko kwenye maandishi kuwa ni majukumu yake...
Hakuna sababu ya kupongeza kazi zinazofanywa na kodi zako ! Kwani serikali iliishaanda siku ya kuwapongeza wananchi kwa kulipa kodi? Jibu ni kuwa siku hiyo haipo sababu kulipa kodi ni wajibu na hauhitaji pongezi na kwa namna hiyo pia hakuna haja ya kuipongeza serikali/kiongozi kwa kutimiza majukumu yake
Sio rahisi. Mama anabadilisha watu vituo. Bila shaka atapelekwa Ilala kama sio Dodoma mjini.Anaweza asiwepo kwenye pdf mpya huyu, Uwezekano ni mkubwa mnoo