Jokate Mwegelo ameipaisha Kisarawe, ni zaidi ya Mkuu wa Wilaya

Jokate Mwegelo ameipaisha Kisarawe, ni zaidi ya Mkuu wa Wilaya

Vp kuhusu mkuu wa wilaya ya chato naye utasemaje amefanya haya

Ameleta mbuga ya wanyama

Uwanja wa ndege wa kimataifa

Hospital ya rufaa

Taa za barabaran

Huduma za benk Kama crdb

Jengo la kisasa la mapato

Shule mbili za advance

Boti nne za uvuvi

Hotel tatu za nyota nne

Barabara z lami mitaani

Vituo vya afya kila kata

Madawati shule zote

Sasa anataka uwe mkoa


Haya Sasa huyo jokate anaweza kufananishwa na mkuu wa wilaya ya chato mkuu kwa haya kwann asichaguliwe kuwa RC Kama ameweza haya akiwa mkuu wa wilaya Tena kwa bajet ndogo kabisa
Aongezewe ulinzi
 
Mtu anapongezwa kwa kufanya kazi zake?

Postman akifikisha barua au mzigo mahali husika tunahitaji kumpongeza?
Ndio kwasababu kuna postman mwingine hafikishi huo mzigo anapeleka anapopajua yeye.
 
Basi nikawa naisikia Kisarawe Kisarawe, nikasema ngoja niende. Aisee, bado sana aisee.
 
Tukimaliza mchakato wa mkoa wa Chato tuanzishe wa mkoa wa Kisarawe au nasema uongo ndugu zangu ?
 
Salaam Wakuu,

Natumia nafasi hii kumpongeza Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo kwa kuipaisha Kisarawe, Kielimu na Kiuchumi.

Wakati anateuliwa nilimbeza sana na kumuona kama kapendelewa. Wengine Walidiliki kusema kwamba ni Nyumba ndogo ya mtu fulani ndo maana kateuliwa. Ila kafanya kazi Vizuri hata zaidi ya Baadhi ya Wakuu wa Mikoa wapenda Kiki.

Kisarawe ni moja kati ya halmashauri tisa za mkoa wa Pwani.Imeanzishwa tarehe 1 Julai 1907.Wilaya ya Kisarawe inapakana na Wilaya ya Mkuranga kwa upande wa Kusini-mashariki na Wilaya ya Morogoro upande wa Magharibi.Mashariki-Kaskazini kuna Jiji la Dar es Salaam, Kaskazini Wilaya ya Kibaha na Kusini Wilaya ya Rufiji. Lakini Utafikiri Kisarawe ndo Mkoa kumbe ni Wilaya tu kati ya Wilaya 9.

Pamoja na kukuta watu wa Pwani ni Wavivu, kwa muda mchache aliokaa Kisarawe, ameitambulisha kimataifa. Kisarawe imekuwa Maarufu. Kisarawe imekuwa maarufu zaidi hata ya Mkoa wa Pwani. Utendaji wake wa Kazi, umefanya Kisarawe kufunika Wilaya nyingine za Pwani.

Kuna baadhi ya Mambo ambayo ameyafanya na yanaonekana.

Elimu

= Wanafunzi walikuwa watoro na Shule za Kisarawe zilikuwa Zinafanya Vibaya, lakini sasa Zinafanya Vizuri.

= Wilaya ya Kisarawe aliikuta inauhitaji wa madawati 1166 ambapo kwa sekondari uhitaji ni 484, na 642
kwa shule ya msingi. Kafanyia kazi

= Alikuta Wilaya ina uhitaji wa shilingi milioni 124 kwa ajili ya kujenga matundu ya vyoo 113 Mashuleni, kafanyia kazi

= Alikuta Wilaya inauhitaji wa ofisi za Walimu za kisasa katika shule 14 ambazo zinagharimu shilingi milioni 880. Kafanyia kazi

= Alikuta Wilaya haina Maktaba, zinajengwa.

= Alikuta Kisarawe ina matatizo ya Maji. Kwa muda mfupi tatizo la Maji limepungua.

= Huduma za afya zimeboreka hasa huduma ya Mama na Mtoto. Ujenzi wa Wodi ya Upasuaji.

= Huduma ya Umeme imeboreka nk.

Ameweza kufanya mambo ya Maendeleo bila kuwasumbua vyama Pinzania wala kujenga Chuki kwa Wananchi. Hajihusishi na Ufusadi. Ana heshima kwa Kila mtu na ni msikivu.

Jokate ni Mfano kwa Viongozi wanaoteuliwa sasa.

Natamani angepewa Wilaya ya Kinondoni akamalize Migogoro ya ardhi.

apelekewe DAS ambaye hajaoa, maisha ndio haya haya na yeye afaidi.
hivi ana umri gani? maana umri wa kuzaa mwanamke ni miaka 14-40 zaidi ya hapo mimba hazinasi.
 
Ndiyo, kwa sababu pongezi ni kwa ajili ya wanaotimiza wajibu.
Sidhani kama kwenye job description ya Jokate kunaelezea masuala ya pongezi..

Na Je akina Mwalimu walifanya mangapi mazuri bila kualika Mikamera eneo la tukio??
 
Lisu alikaa Ikungi kwa miaka 10 lakini hakuna alichoacha.
 
Sidhani kama kwenye job description ya Jokate kunaelezea masuala ya pongezi..

Na Je akina Mwalimu walifanya mangapi mazuri bila kualika Mikamera eneo la tukio??
Pongezi inakuumiza sana kichwa.
 
Salaam Wakuu,

Natumia nafasi hii kumpongeza Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo kwa kuipaisha Kisarawe, Kielimu na Kiuchumi.

Wakati anateuliwa nilimbeza sana na kumuona kama kapendelewa. Wengine Walidiliki kusema kwamba ni Nyumba ndogo ya mtu fulani ndo maana kateuliwa. Ila kafanya kazi Vizuri hata zaidi ya Baadhi ya Wakuu wa Mikoa wapenda Kiki.

Kisarawe ni moja kati ya halmashauri tisa za mkoa wa Pwani.Imeanzishwa tarehe 1 Julai 1907.Wilaya ya Kisarawe inapakana na Wilaya ya Mkuranga kwa upande wa Kusini-mashariki na Wilaya ya Morogoro upande wa Magharibi.Mashariki-Kaskazini kuna Jiji la Dar es Salaam, Kaskazini Wilaya ya Kibaha na Kusini Wilaya ya Rufiji. Lakini Utafikiri Kisarawe ndo Mkoa kumbe ni Wilaya tu kati ya Wilaya 9.

Pamoja na kukuta watu wa Pwani ni Wavivu, kwa muda mchache aliokaa Kisarawe, ameitambulisha kimataifa. Kisarawe imekuwa Maarufu. Kisarawe imekuwa maarufu zaidi hata ya Mkoa wa Pwani. Utendaji wake wa Kazi, umefanya Kisarawe kufunika Wilaya nyingine za Pwani.

Kuna baadhi ya Mambo ambayo ameyafanya na yanaonekana.

Elimu

= Wanafunzi walikuwa watoro na Shule za Kisarawe zilikuwa Zinafanya Vibaya, lakini sasa Zinafanya Vizuri.

= Wilaya ya Kisarawe aliikuta inauhitaji wa madawati 1166 ambapo kwa sekondari uhitaji ni 484, na 642
kwa shule ya msingi. Kafanyia kazi

= Alikuta Wilaya ina uhitaji wa shilingi milioni 124 kwa ajili ya kujenga matundu ya vyoo 113 Mashuleni, kafanyia kazi

= Alikuta Wilaya inauhitaji wa ofisi za Walimu za kisasa katika shule 14 ambazo zinagharimu shilingi milioni 880. Kafanyia kazi

= Alikuta Wilaya haina Maktaba, zinajengwa.

= Alikuta Kisarawe ina matatizo ya Maji. Kwa muda mfupi tatizo la Maji limepungua.

= Huduma za afya zimeboreka hasa huduma ya Mama na Mtoto. Ujenzi wa Wodi ya Upasuaji.

= Huduma ya Umeme imeboreka nk.

Ameweza kufanya mambo ya Maendeleo bila kuwasumbua vyama Pinzania wala kujenga Chuki kwa Wananchi. Hajihusishi na Ufusadi. Ana heshima kwa Kila mtu na ni msikivu.

Jokate ni Mfano kwa Viongozi wanaoteuliwa sasa.

Natamani angepewa Wilaya ya Kinondoni akamalize Migogoro ya ardhi.

Kisarawe kama Wilaya imetulia.ila ki uchumi bado haija fika popote.uzawa ndiyo unaiharibu kisarawe.Ukiona wachaga wameshindwa kufanya biashara ujue hapo kuendelea ni ndoto. Kisarawe na Kondoa zinafanana hiv
 
Salaam Wakuu,

Natumia nafasi hii kumpongeza Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo kwa kuipaisha Kisarawe, Kielimu na Kiuchumi.

Wakati anateuliwa nilimbeza sana na kumuona kama kapendelewa. Wengine Walidiliki kusema kwamba ni Nyumba ndogo ya mtu fulani ndo maana kateuliwa. Ila kafanya kazi Vizuri hata zaidi ya Baadhi ya Wakuu wa Mikoa wapenda Kiki.

Kisarawe ni moja kati ya halmashauri tisa za mkoa wa Pwani.Imeanzishwa tarehe 1 Julai 1907.Wilaya ya Kisarawe inapakana na Wilaya ya Mkuranga kwa upande wa Kusini-mashariki na Wilaya ya Morogoro upande wa Magharibi.Mashariki-Kaskazini kuna Jiji la Dar es Salaam, Kaskazini Wilaya ya Kibaha na Kusini Wilaya ya Rufiji. Lakini Utafikiri Kisarawe ndo Mkoa kumbe ni Wilaya tu kati ya Wilaya 9.

Pamoja na kukuta watu wa Pwani ni Wavivu, kwa muda mchache aliokaa Kisarawe, ameitambulisha kimataifa. Kisarawe imekuwa Maarufu. Kisarawe imekuwa maarufu zaidi hata ya Mkoa wa Pwani. Utendaji wake wa Kazi, umefanya Kisarawe kufunika Wilaya nyingine za Pwani.

Kuna baadhi ya Mambo ambayo ameyafanya na yanaonekana.

Elimu

= Wanafunzi walikuwa watoro na Shule za Kisarawe zilikuwa Zinafanya Vibaya, lakini sasa Zinafanya Vizuri.

= Wilaya ya Kisarawe aliikuta inauhitaji wa madawati 1166 ambapo kwa sekondari uhitaji ni 484, na 642
kwa shule ya msingi. Kafanyia kazi

= Alikuta Wilaya ina uhitaji wa shilingi milioni 124 kwa ajili ya kujenga matundu ya vyoo 113 Mashuleni, kafanyia kazi

= Alikuta Wilaya inauhitaji wa ofisi za Walimu za kisasa katika shule 14 ambazo zinagharimu shilingi milioni 880. Kafanyia kazi

= Alikuta Wilaya haina Maktaba, zinajengwa.

= Alikuta Kisarawe ina matatizo ya Maji. Kwa muda mfupi tatizo la Maji limepungua.

= Huduma za afya zimeboreka hasa huduma ya Mama na Mtoto. Ujenzi wa Wodi ya Upasuaji.

= Huduma ya Umeme imeboreka nk.

Ameweza kufanya mambo ya Maendeleo bila kuwasumbua vyama Pinzania wala kujenga Chuki kwa Wananchi. Hajihusishi na Ufusadi. Ana heshima kwa Kila mtu na ni msikivu.

Jokate ni Mfano kwa Viongozi wanaoteuliwa sasa.

Natamani angepewa Wilaya ya Kinondoni akamalize Migogoro ya ardhi.

Kwa hiyo! Ateuliwe tena au unasemaje?
 
Pongezi inakuumiza sana kichwa.
Haijaniumiza kichwa nimetoa maoni yangu na nitayasimamia..

Hakuna haja ya kupongezwa kwa kutimiza majukumu yako sababu umefanya majukumu ukaita makamera..

Alishindwa nini kutimiza kimya kimya??
 
Kwani huyu ni mke wa nani maana kuna mtumishi aliondolewa kwakuwa anaukaribu naye
 
Sijui amekutuma umpromote😳😳 ,halafu unasema amekuta watu wa pwani wavivu,maneno haya akisema yeye au wewe?
Kama ni wewe Kuna siku ulisika pwani Wana shida ya chakula au walikuja omba msaada wa chakula kwako?
Acha dharau ndugu,bila ya watu wa pwani hata Uhuru tz usingepatikana.
Nyerere mwenyewe alikua anawaheshimu Sana watu wa pwani.
 
Back
Top Bottom