Aongezewe ulinziVp kuhusu mkuu wa wilaya ya chato naye utasemaje amefanya haya
Ameleta mbuga ya wanyama
Uwanja wa ndege wa kimataifa
Hospital ya rufaa
Taa za barabaran
Huduma za benk Kama crdb
Jengo la kisasa la mapato
Shule mbili za advance
Boti nne za uvuvi
Hotel tatu za nyota nne
Barabara z lami mitaani
Vituo vya afya kila kata
Madawati shule zote
Sasa anataka uwe mkoa
Haya Sasa huyo jokate anaweza kufananishwa na mkuu wa wilaya ya chato mkuu kwa haya kwann asichaguliwe kuwa RC Kama ameweza haya akiwa mkuu wa wilaya Tena kwa bajet ndogo kabisa
Ndio kwasababu kuna postman mwingine hafikishi huo mzigo anapeleka anapopajua yeye.Mtu anapongezwa kwa kufanya kazi zake?
Postman akifikisha barua au mzigo mahali husika tunahitaji kumpongeza?
Mbona sikuzuona mkuu.Kianzia Ijumaa hapatoshi
Ndiyo, kwa sababu pongezi ni kwa ajili ya wanaotimiza wajibu.Mtu anapongezwa kwa kufanya kazi zake?
Postman akifikisha barua au mzigo mahali husika tunahitaji kumpongeza?
apelekewe DAS ambaye hajaoa, maisha ndio haya haya na yeye afaidi.Salaam Wakuu,
Natumia nafasi hii kumpongeza Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo kwa kuipaisha Kisarawe, Kielimu na Kiuchumi.
Wakati anateuliwa nilimbeza sana na kumuona kama kapendelewa. Wengine Walidiliki kusema kwamba ni Nyumba ndogo ya mtu fulani ndo maana kateuliwa. Ila kafanya kazi Vizuri hata zaidi ya Baadhi ya Wakuu wa Mikoa wapenda Kiki.
Kisarawe ni moja kati ya halmashauri tisa za mkoa wa Pwani.Imeanzishwa tarehe 1 Julai 1907.Wilaya ya Kisarawe inapakana na Wilaya ya Mkuranga kwa upande wa Kusini-mashariki na Wilaya ya Morogoro upande wa Magharibi.Mashariki-Kaskazini kuna Jiji la Dar es Salaam, Kaskazini Wilaya ya Kibaha na Kusini Wilaya ya Rufiji. Lakini Utafikiri Kisarawe ndo Mkoa kumbe ni Wilaya tu kati ya Wilaya 9.
Pamoja na kukuta watu wa Pwani ni Wavivu, kwa muda mchache aliokaa Kisarawe, ameitambulisha kimataifa. Kisarawe imekuwa Maarufu. Kisarawe imekuwa maarufu zaidi hata ya Mkoa wa Pwani. Utendaji wake wa Kazi, umefanya Kisarawe kufunika Wilaya nyingine za Pwani.
Kuna baadhi ya Mambo ambayo ameyafanya na yanaonekana.
Elimu
= Wanafunzi walikuwa watoro na Shule za Kisarawe zilikuwa Zinafanya Vibaya, lakini sasa Zinafanya Vizuri.
= Wilaya ya Kisarawe aliikuta inauhitaji wa madawati 1166 ambapo kwa sekondari uhitaji ni 484, na 642
kwa shule ya msingi. Kafanyia kazi
= Alikuta Wilaya ina uhitaji wa shilingi milioni 124 kwa ajili ya kujenga matundu ya vyoo 113 Mashuleni, kafanyia kazi
= Alikuta Wilaya inauhitaji wa ofisi za Walimu za kisasa katika shule 14 ambazo zinagharimu shilingi milioni 880. Kafanyia kazi
= Alikuta Wilaya haina Maktaba, zinajengwa.
= Alikuta Kisarawe ina matatizo ya Maji. Kwa muda mfupi tatizo la Maji limepungua.
= Huduma za afya zimeboreka hasa huduma ya Mama na Mtoto. Ujenzi wa Wodi ya Upasuaji.
= Huduma ya Umeme imeboreka nk.
Ameweza kufanya mambo ya Maendeleo bila kuwasumbua vyama Pinzania wala kujenga Chuki kwa Wananchi. Hajihusishi na Ufusadi. Ana heshima kwa Kila mtu na ni msikivu.
Jokate ni Mfano kwa Viongozi wanaoteuliwa sasa.
Natamani angepewa Wilaya ya Kinondoni akamalize Migogoro ya ardhi.
Huyo tutamuadhibu kwa namna yake ikiwemo kuachishwa kazi na si vinginevyo!Ndio kwasababu kuna postman mwingine hafikishi huo mzigo anapeleka anapopajua yeye.
Sidhani kama kwenye job description ya Jokate kunaelezea masuala ya pongezi..Ndiyo, kwa sababu pongezi ni kwa ajili ya wanaotimiza wajibu.
Pongezi inakuumiza sana kichwa.Sidhani kama kwenye job description ya Jokate kunaelezea masuala ya pongezi..
Na Je akina Mwalimu walifanya mangapi mazuri bila kualika Mikamera eneo la tukio??
Kisarawe kama Wilaya imetulia.ila ki uchumi bado haija fika popote.uzawa ndiyo unaiharibu kisarawe.Ukiona wachaga wameshindwa kufanya biashara ujue hapo kuendelea ni ndoto. Kisarawe na Kondoa zinafanana hivSalaam Wakuu,
Natumia nafasi hii kumpongeza Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo kwa kuipaisha Kisarawe, Kielimu na Kiuchumi.
Wakati anateuliwa nilimbeza sana na kumuona kama kapendelewa. Wengine Walidiliki kusema kwamba ni Nyumba ndogo ya mtu fulani ndo maana kateuliwa. Ila kafanya kazi Vizuri hata zaidi ya Baadhi ya Wakuu wa Mikoa wapenda Kiki.
Kisarawe ni moja kati ya halmashauri tisa za mkoa wa Pwani.Imeanzishwa tarehe 1 Julai 1907.Wilaya ya Kisarawe inapakana na Wilaya ya Mkuranga kwa upande wa Kusini-mashariki na Wilaya ya Morogoro upande wa Magharibi.Mashariki-Kaskazini kuna Jiji la Dar es Salaam, Kaskazini Wilaya ya Kibaha na Kusini Wilaya ya Rufiji. Lakini Utafikiri Kisarawe ndo Mkoa kumbe ni Wilaya tu kati ya Wilaya 9.
Pamoja na kukuta watu wa Pwani ni Wavivu, kwa muda mchache aliokaa Kisarawe, ameitambulisha kimataifa. Kisarawe imekuwa Maarufu. Kisarawe imekuwa maarufu zaidi hata ya Mkoa wa Pwani. Utendaji wake wa Kazi, umefanya Kisarawe kufunika Wilaya nyingine za Pwani.
Kuna baadhi ya Mambo ambayo ameyafanya na yanaonekana.
Elimu
= Wanafunzi walikuwa watoro na Shule za Kisarawe zilikuwa Zinafanya Vibaya, lakini sasa Zinafanya Vizuri.
= Wilaya ya Kisarawe aliikuta inauhitaji wa madawati 1166 ambapo kwa sekondari uhitaji ni 484, na 642
kwa shule ya msingi. Kafanyia kazi
= Alikuta Wilaya ina uhitaji wa shilingi milioni 124 kwa ajili ya kujenga matundu ya vyoo 113 Mashuleni, kafanyia kazi
= Alikuta Wilaya inauhitaji wa ofisi za Walimu za kisasa katika shule 14 ambazo zinagharimu shilingi milioni 880. Kafanyia kazi
= Alikuta Wilaya haina Maktaba, zinajengwa.
= Alikuta Kisarawe ina matatizo ya Maji. Kwa muda mfupi tatizo la Maji limepungua.
= Huduma za afya zimeboreka hasa huduma ya Mama na Mtoto. Ujenzi wa Wodi ya Upasuaji.
= Huduma ya Umeme imeboreka nk.
Ameweza kufanya mambo ya Maendeleo bila kuwasumbua vyama Pinzania wala kujenga Chuki kwa Wananchi. Hajihusishi na Ufusadi. Ana heshima kwa Kila mtu na ni msikivu.
Jokate ni Mfano kwa Viongozi wanaoteuliwa sasa.
Natamani angepewa Wilaya ya Kinondoni akamalize Migogoro ya ardhi.
Na ndo maana hakuna maendeleo!Hongera zake.
Ila huko nawakubali kwa ngoma maana kuna wakati watu muda wote wako ngomani.
Ova
[emoji848][emoji848]Kuna tetesi mama anampiga chini? Why promo?
Kwa hiyo! Ateuliwe tena au unasemaje?Salaam Wakuu,
Natumia nafasi hii kumpongeza Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo kwa kuipaisha Kisarawe, Kielimu na Kiuchumi.
Wakati anateuliwa nilimbeza sana na kumuona kama kapendelewa. Wengine Walidiliki kusema kwamba ni Nyumba ndogo ya mtu fulani ndo maana kateuliwa. Ila kafanya kazi Vizuri hata zaidi ya Baadhi ya Wakuu wa Mikoa wapenda Kiki.
Kisarawe ni moja kati ya halmashauri tisa za mkoa wa Pwani.Imeanzishwa tarehe 1 Julai 1907.Wilaya ya Kisarawe inapakana na Wilaya ya Mkuranga kwa upande wa Kusini-mashariki na Wilaya ya Morogoro upande wa Magharibi.Mashariki-Kaskazini kuna Jiji la Dar es Salaam, Kaskazini Wilaya ya Kibaha na Kusini Wilaya ya Rufiji. Lakini Utafikiri Kisarawe ndo Mkoa kumbe ni Wilaya tu kati ya Wilaya 9.
Pamoja na kukuta watu wa Pwani ni Wavivu, kwa muda mchache aliokaa Kisarawe, ameitambulisha kimataifa. Kisarawe imekuwa Maarufu. Kisarawe imekuwa maarufu zaidi hata ya Mkoa wa Pwani. Utendaji wake wa Kazi, umefanya Kisarawe kufunika Wilaya nyingine za Pwani.
Kuna baadhi ya Mambo ambayo ameyafanya na yanaonekana.
Elimu
= Wanafunzi walikuwa watoro na Shule za Kisarawe zilikuwa Zinafanya Vibaya, lakini sasa Zinafanya Vizuri.
= Wilaya ya Kisarawe aliikuta inauhitaji wa madawati 1166 ambapo kwa sekondari uhitaji ni 484, na 642
kwa shule ya msingi. Kafanyia kazi
= Alikuta Wilaya ina uhitaji wa shilingi milioni 124 kwa ajili ya kujenga matundu ya vyoo 113 Mashuleni, kafanyia kazi
= Alikuta Wilaya inauhitaji wa ofisi za Walimu za kisasa katika shule 14 ambazo zinagharimu shilingi milioni 880. Kafanyia kazi
= Alikuta Wilaya haina Maktaba, zinajengwa.
= Alikuta Kisarawe ina matatizo ya Maji. Kwa muda mfupi tatizo la Maji limepungua.
= Huduma za afya zimeboreka hasa huduma ya Mama na Mtoto. Ujenzi wa Wodi ya Upasuaji.
= Huduma ya Umeme imeboreka nk.
Ameweza kufanya mambo ya Maendeleo bila kuwasumbua vyama Pinzania wala kujenga Chuki kwa Wananchi. Hajihusishi na Ufusadi. Ana heshima kwa Kila mtu na ni msikivu.
Jokate ni Mfano kwa Viongozi wanaoteuliwa sasa.
Natamani angepewa Wilaya ya Kinondoni akamalize Migogoro ya ardhi.
Haijaniumiza kichwa nimetoa maoni yangu na nitayasimamia..Pongezi inakuumiza sana kichwa.