TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,465
- 3,459
Hana ajualo uyoUmekuza sana vitisho... huku uhalisia mkuu wa wilaya ya temeke wa sasa hivi hana competence yeyote ya kumzidi jokate.. kuanzia elimu mpaka mafanikio waliyoyaleta kwenye wilaya zao..
Yaani sehemu aweze muandishi wa habari ambays hata chuo kikuu hajafika, ashindwe binti mjanja mjanja mwenye degree na masters ya udsm + exposure ya kueleweka
Sawa jokateGondwe naona umeandika gazeti, jiandae kwenda kisarawe then Jokate aje Temeke
Mmeufanya ukuu wa wilaya mwepesi sana mpaka Sasa mnafanya bongo movies,Kisarawe na mikoa mingine isiyo na changamoto inamtosha,mkimpa waliya za mjini mtahisi anaonewa tu wakati wa final conclusionUmekuza sana vitisho... huku uhalisia mkuu wa wilaya ya temeke wa sasa hivi hana competence yeyote ya kumzidi jokate.. kuanzia elimu mpaka mafanikio waliyoyaleta kwenye wilaya zao..
Yaani sehemu aweze muandishi wa habari ambays hata chuo kikuu hajafika, ashindwe binti mjanja mjanja mwenye degree na masters ya udsm + exposure ya kueleweka
Fafanua kidogo mkuu walau hata kwa codeWajuba wanasema Sabaya kaficha mzigo kwa Kidoti
Saabovu alikuwa anamzunguka godfather wake na mamilioni mengine kayahifadhi huko alikuwa anaogopa kuweka bank.Fafanua kidogo mkuu walau hata kwa code
Gondwe angepelekwa kule kwenye Mfupa mtupu Kisarawe, angekuwa kashajiuzulu. Jenga Picha Jokate angepata Wilaya ya Watu wapambanaji Kama Kinondoni. Rais muda huu angekuwa kashampa ukuu wa Mkoa. Kisarawe haina hela ila Kapmbana. Hadi kuanzisha Mifuko ya MaendeleoTemeke hapawezi kabisaa,miongoni mwa wilaya zinazotaka uwe na maamuzi haswaaaa,Maana kwanza kuna viwanda vingi,bandari,wavuja jasho wengi,Wanafunzi wazazi wanaotegemea huduma Zaid za serikali kuanzia elimu, afya na maj.
Usafiri mkubwa ni daladala ,huku ni mtu ana nauli ya kwenda na kurudi tu humuelezi kitu.
Kila siku kusolve migogoro n.k
Jokate anaziweza wilaya ambazo bado Zina ushamba mwingi ili aweze waleta wasanii washangae shangae,event za kisanii Zaid kama mialiko kedekede,pichapicha nyingi.
Wilaya za watendaji weziwezi na wafanya biashara wabishi wabishi haziwezi
Wilaya za kazi na kusolve matatzo yanayotegemea viongozi wa serikali badoo ana ile ya kutaka kumridhisha kila mtu,Abaki tu kisarawe ama ateuliwe viti maalumu
Umri wake 32apelekewe DAS ambaye hajaoa, maisha ndio haya haya na yeye afaidi.
hivi ana umri gani? maana umri wa kuzaa mwanamke ni miaka 14-40 zaidi ya hapo mimba hazinasi.
misifa ya kujitakia waambie haoAnatoa pesa zake?mbunge naye atajisifia haya haya, sasa tumshukuru nani mkuu ww Wilaya, mkuu wa mkoa au mbunge?
Kwa vile uteuzi una karibia 50/50 atapata tu, hakuna haja ya kupiga debe.
Bado mna nguvu tu na jokate wako licha ya hili la tuhuma ya kua muweka hazina wa sabaya?Gondwe angepelekwa kule kwenye Mfupa mtupu Kisarawe, angekuwa kashajiuzulu. Jenga Picha Jokate angepata Wilaya ya Watu wapambanaji Kama Kinondoni. Rais muda huu angekuwa kashampa ukuu wa Mkoa. Kisarawe haina hela ila Kapmbana. Hadi kuanzisha Mifuko ya Maendeleo
Wamuache bana hata kama ni kitu maalum cha mwenda zake , anajitahidi kwa kiasi chake sio kama wengine hawasikiki kabisaaaaa, kiukweli Jojo pisi kali na hana makuu, kwanza amekua utotoutoto umepotea sikuhizi mitano tena kwa Kidotiakeee
Salaam Wakuu, Natumia nafasi hii kumpongeza Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo kwa kuipaisha Kisarawe, Kielimu na Kiuchumi. Wakati anateuliwa nilimbeza sana na kumuona kama kapendelewa. Wengine Walidiliki kusema kwamba ni Nyumba ndogo ya mtu fulani ndo maana kateuliwa. Ila kafanya kazi Vizuri hata zaidi ya Baadhi ya Wakuu wa Mikoa wapenda Kiki. Kisarawe ni moja kati ya halmashauri tisa za mkoa wa Pwani.Imeanzishwa tarehe 1 Julai 1907.Wilaya ya Kisarawe inapakana na Wilaya ya Mkuranga kwa upande wa Kusini-mashariki na Wilaya ya Morogoro upande wa Magharibi.Mashariki-Kaskazini kuna Jiji la Dar es Salaam, Kaskazini Wilaya ya Kibaha na Kusini Wilaya ya Rufiji. Lakini Utafikiri Kisarawe ndo Mkoa kumbe ni Wilaya tu kati ya Wilaya 9. Pamoja na kukuta watu wa Pwani ni Wavivu, kwa muda mchache aliokaa Kisarawe, ameitambulisha kimataifa. Kisarawe imekuwa Maarufu. Kisarawe imekuwa maarufu zaidi hata ya Mkoa wa Pwani. Utendaji wake wa Kazi, umefanya Kisarawe kufunika Wilaya nyingine za Pwani. Kuna baadhi ya Mambo ambayo ameyafanya na yanaonekana. Elimu = Wanafunzi walikuwa watoro na Shule za Kisarawe zilikuwa Zinafanya Vibaya, lakini sasa Zinafanya Vizuri. = Wilaya ya Kisarawe aliikuta inauhitaji wa madawati 1166 ambapo kwa sekondari uhitaji ni 484, na 642 kwa shule ya msingi. Kafanyia kazi = Alikuta Wilaya ina uhitaji wa shilingi milioni 124 kwa ajili ya kujenga matundu ya vyoo 113 Mashuleni, kafanyia kazi = Alikuta Wilaya inauhitaji wa ofisi za Walimu za kisasa katika shule 14 ambazo zinagharimu shilingi milioni 880. Kafanyia kazi = Alikuta Wilaya haina Maktaba, zinajengwa. = Alikuta Kisarawe ina matatizo ya Maji. Kwa muda mfupi tatizo la Maji limepungua. = Huduma za afya zimeboreka hasa huduma ya Mama na Mtoto. Ujenzi wa Wodi ya Upasuaji. = Huduma ya Umeme imeboreka nk. Ameweza kufanya mambo ya Maendeleo bila kuwasumbua vyama Pinzania wala kujenga Chuki kwa Wananchi. Hajihusishi na Ufusadi. Ana heshima kwa Kila mtu na ni msikivu. Jokate ni Mfano kwa Viongozi wanaoteuliwa sasa. Natamani angepewa Wilaya ya Kinondoni akamalize Migogoro ya ardhi.
Pia ametajwa kushiriki kutunza hela za ujambazi alizokuwa anapora SabayaSalaam Wakuu,
Natumia nafasi hii kumpongeza Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo kwa kuipaisha Kisarawe, Kielimu na Kiuchumi.
Wakati anateuliwa nilimbeza sana na kumuona kama kapendelewa. Wengine Walidiliki kusema kwamba ni Nyumba ndogo ya mtu fulani ndo maana kateuliwa. Ila kafanya kazi Vizuri hata zaidi ya Baadhi ya Wakuu wa Mikoa wapenda Kiki.
Kisarawe ni moja kati ya halmashauri tisa za mkoa wa Pwani.Imeanzishwa tarehe 1 Julai 1907.Wilaya ya Kisarawe inapakana na Wilaya ya Mkuranga kwa upande wa Kusini-mashariki na Wilaya ya Morogoro upande wa Magharibi.Mashariki-Kaskazini kuna Jiji la Dar es Salaam, Kaskazini Wilaya ya Kibaha na Kusini Wilaya ya Rufiji. Lakini Utafikiri Kisarawe ndo Mkoa kumbe ni Wilaya tu kati ya Wilaya 9.
Pamoja na kukuta watu wa Pwani ni Wavivu, kwa muda mchache aliokaa Kisarawe, ameitambulisha kimataifa. Kisarawe imekuwa Maarufu. Kisarawe imekuwa maarufu zaidi hata ya Mkoa wa Pwani. Utendaji wake wa Kazi, umefanya Kisarawe kufunika Wilaya nyingine za Pwani.
Kuna baadhi ya Mambo ambayo ameyafanya na yanaonekana.
Elimu
= Wanafunzi walikuwa watoro na Shule za Kisarawe zilikuwa Zinafanya Vibaya, lakini sasa Zinafanya Vizuri.
= Wilaya ya Kisarawe aliikuta inauhitaji wa madawati 1166 ambapo kwa sekondari uhitaji ni 484, na 642
kwa shule ya msingi. Kafanyia kazi
= Alikuta Wilaya ina uhitaji wa shilingi milioni 124 kwa ajili ya kujenga matundu ya vyoo 113 Mashuleni, kafanyia kazi
= Alikuta Wilaya inauhitaji wa ofisi za Walimu za kisasa katika shule 14 ambazo zinagharimu shilingi milioni 880. Kafanyia kazi
= Alikuta Wilaya haina Maktaba, zinajengwa.
= Alikuta Kisarawe ina matatizo ya Maji. Kwa muda mfupi tatizo la Maji limepungua.
= Huduma za afya zimeboreka hasa huduma ya Mama na Mtoto. Ujenzi wa Wodi ya Upasuaji.
= Huduma ya Umeme imeboreka nk.
Ameweza kufanya mambo ya Maendeleo bila kuwasumbua vyama Pinzania wala kujenga Chuki kwa Wananchi. Hajihusishi na Ufusadi. Ana heshima kwa Kila mtu na ni msikivu.
Jokate ni Mfano kwa Viongozi wanaoteuliwa sasa.
Natamani angepewa Wilaya ya Kinondoni akamalize Migogoro ya ardhi.