barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Mleta uzi ndio kasema joketi ana ubunifuUnategemea ubunifu kwa Jokate? Ngoja akasimamie shule wajenge
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mleta uzi ndio kasema joketi ana ubunifuUnategemea ubunifu kwa Jokate? Ngoja akasimamie shule wajenge
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Tukaulize wakati tunaona !! Subiri akajenge shule na kupiga rangi hakuna ubunifu katika kichwa chake.Kaulize kule kisarawe
Hana akiliMleta uzi ndio kasema joketi ana ubunifu
Mpandishe wewe kama unaona wamekoseaHabari wakuu
Kwa Maoni yangu Mimi Kama mtanzania naona Jokate Mwegelo hakustahili kuhamishwa Kisarawe Bali aliatakiwa apandishwe cheo na kuwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani,au eneo Jingine has a remote areas.
Kwa sababu moja Kuu,Jokate ni Mbunifu sana na kwa nafasi take kwanza kama Mtu maarufu mwebye wafuasi wengi angetumia hiyo nafasi kupaisha Mkoa husika kama alivyoipaisha kisarawe.
Kwa muda wote aliokaaa kisarawe amefanya makubwa mno kuitangaza kisarawe na kuinua kiwango cha elimu,has a katika wilaya ambayo aakazi wake wengi hawakuwa wanaipa thamani Elimu lakin tumeona ameweza kufanya mabadiliko makubwa sana
Hivyo naona katika Eneo ambalo Rais wetu amekosea ama ameshauriwa vibaya na wasaidizi wake ni katika uhamisho wa Jokate
Shaloom!
Unaweza tu hata wewe kuonyesha Mkuu,lakin wanaomfaham hawahitaji kuelezewa zaid
Umesema ni mbunifu je alibuni drone au Jembe hata nazi ya kopo made in kisarawe?kwangu ni average tu kuhimiza wasichana wa pwani wasiolewe na umri mdogo waende shule na kampeni za ukimwi mtu yoyote anayejua kusoma na kuandiaka anaweza akafanya.
Watanzania wengi ni watu ambao ukiwawekea mipaka ya nini cha kufanya, hawawezi kwenda nje ya mipaka hiyo.In fact vyeo vya wakuu wa wilaya vifutwe kabisa kwenye katiba abaki mkurugenzi na DAS tu
Ile ni Promotion kubwa kwake TMK ni sawa Mkoa mingi tu Lindi Mtwara Pwani etc...changamoto TMK nyingi na kubwaHabari wakuu
Kwa Maoni yangu Mimi Kama mtanzania naona Jokate Mwegelo hakustahili kuhamishwa Kisarawe Bali aliatakiwa apandishwe cheo na kuwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani,au eneo Jingine has a remote areas.
Kwa sababu moja Kuu,Jokate ni Mbunifu sana na kwa nafasi take kwanza kama Mtu maarufu mwebye wafuasi wengi angetumia hiyo nafasi kupaisha Mkoa husika kama alivyoipaisha kisarawe.
Kwa muda wote aliokaaa kisarawe amefanya makubwa mno kuitangaza kisarawe na kuinua kiwango cha elimu,has a katika wilaya ambayo aakazi wake wengi hawakuwa wanaipa thamani Elimu lakin tumeona ameweza kufanya mabadiliko makubwa sana
Hivyo naona katika Eneo ambalo Rais wetu amekosea ama ameshauriwa vibaya na wasaidizi wake ni katika uhamisho wa Jokate
Shaloom!
Wewe ndio unaakili Mkuu
Sina uwezo zaidi ya kutoa maoni yangu kama mtanzaniaMpandishe wewe kama unaona wamekosea
Wewe vipi? Mimi siwezi kuonyesha, sijaanzisha huu uzi, sipajui kisarawe, sijawahi kusoma taarifa ya kuonyesha tofauti ya ilivyo kuwa kisarawe kabla ya jokate kufika na sasa wakati anaondoka.
Umesema ni mbunifu, je alibuni drone au Jembe hata nazi ya kopo made in kisarawe?kwangu ni average tu kuhimiza wasichana wa pwani wasiolewe na umri mdogo waende shule na kampeni za ukimwi mtu yoyote anayejua kusoma na kuandika anaweza akafanya.
Mimi ni mbunifu kwenye familia yangu siyo wilaya.Mbona wewe hujawahi kufanya
Ubunifu aupeleke Temeke huyu alikuwa anabebwa tumempa hapo Temeke tumwoneHabari wakuu,
Kwa Maoni yangu Mimi Kama Mtanzania naona Jokate Mwegelo hakustahili kuhamishwa Kisarawe bali aliatakiwa apandishwe cheo na kuwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani au eneo Jingine has a remote areas.
Kwa sababu moja Kuu, Jokate ni Mbunifu sana na kwa nafasi take kwanza kama Mtu maarufu mwebye wafuasi wengi angetumia hiyo nafasi kupaisha Mkoa husika kama alivyoipaisha Kisarawe.
Kwa muda wote aliokaaa Kisarawe amefanya makubwa mno kuitangaza Kisarawe na kuinua kiwango cha elimu, hasa katika wilaya ambayo aakazi wake wengi hawakuwa wanaipa thamani Elimu lakin tumeona ameweza kufanya mabadiliko makubwa sana.
Hivyo naona katika Eneo ambalo Rais wetu amekosea ama ameshauriwa vibaya na wasaidizi wake ni katika uhamisho wa Jokate.
Shaloom!
Lakini waliomtangulia hilo liliwashindaUmesema ni mbunifu, je alibuni drone au Jembe hata nazi ya kopo made in kisarawe?kwangu ni average tu kuhimiza wasichana wa pwani wasiolewe na umri mdogo waende shule na kampeni za ukimwi mtu yoyote anayejua kusoma na kuandika anaweza akafanya.
Lakini waliomtangulia hilo liliwashinda
Mtaje jina aliyeshindwa? na alishindwa vipi?Lakini waliomtangulia hilo liliwashinda