Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Figisu zimeanzajokate ana miaka 33 katiba inatakatawe na miaka 30 kugombea
Aulize kilichompata mtoto wa Malecela, Ipyana!Aulize kilichomkuta Masauni , ccm ni chama cha hatari mno !
Naibu WaziriAulize kilichomkuta Masauni , ccm ni chama cha hatari mno !
Le mutuz?Aulize kilichompata mtoto wa Malecela, Ipyana!
Hapana atagombea PeramihoNaye anataka awe mbunge wa vitu maalum kama akina Lucy Mayenga?
Haaaaaaaa,kumbe Jokate keshakuwa bibi? Miaka inaenda haraka sana.jokate ana miaka 33 katiba inatakatawe na miaka 30 kugombea
Hapana huyo ni mdogo wake Mwele. Alikufa katika mazingira ya utata wakati alipoonyesha nia ya kuwania uenyenyekiti wa UVCCM. Jamaa alikuwa mtu wa watu lakini alikufa kifo chenye utata. Sidhani kama Mzee Malecela amepona kutokana na kidonda cha kuondokewa na kipenzi chake.Le mutuz?
OkHapana huyo ni mdogo wake Mwele. Alikufa katika mazingira ya utata wakati alipoonyesha nia ya kuwania uenyenyekiti wa UVCCM. Jamaa alikuwa mtu wa watu lakini alikufa kifo chenye utata. Sidhani kama Mzee Malecela amepona kutokana na kidonda cha kuondokewa na kipenzi chake.
USIOGOPE!Watamgeuza 'chakula' huko ccm'!
Bado ni kabintiHaaaaaaaa,kumbe Jokate keshakuwa bibi? Miaka inaenda haraka sana.
Kabinti ka miaka 33?Bado ni kabinti
"CCM wampe" nimeipenda ni uzalendo wa hali ya juu na sio chuki za uchama..Ila kiukweli Jokate ana elimu nzuri na uwezo wa ushawishi. Binafsi naona huyu binti ana kitu ambacho either hata yeye hajui lakini pia wengi hawajagundua uwezo wake kisiasa ....nimesikia jinsi alivyokuwa akijibu maswali ya wanahabari na kushtushwa na uwezo wake hasa kuchagua nini azungumze ....private life ina mengi kwa kila mmoja wetu ....CCM wampe fursa ...naamini hawatojutia ....