THINKINGBEING JF-Expert Member Joined Aug 9, 2010 Posts 2,779 Reaction score 1,304 Apr 27, 2017 #41 Jokate anaweza akawa mtu mzuri kwenye siasa tofauti na huyu Wema tuliyetaka kumpa ujumbe wa kamati kuu CHADEMA.
Jokate anaweza akawa mtu mzuri kwenye siasa tofauti na huyu Wema tuliyetaka kumpa ujumbe wa kamati kuu CHADEMA.
waefeso Member Joined Mar 29, 2017 Posts 89 Reaction score 80 Apr 27, 2017 #42 THINKINGBEING said: Jokate anaweza akawa mtu mzuri kwenye siasa tofauti na huyu Wema tuliyetaka kumpa ujumbe wa kamati kuu CHADEMA. Click to expand... Hivi huwezi kumsifia huyo jokate bila wema inaonyesha jinsi gani wema kamzidi ndo maana alimbwaga kwenye umiss tz
THINKINGBEING said: Jokate anaweza akawa mtu mzuri kwenye siasa tofauti na huyu Wema tuliyetaka kumpa ujumbe wa kamati kuu CHADEMA. Click to expand... Hivi huwezi kumsifia huyo jokate bila wema inaonyesha jinsi gani wema kamzidi ndo maana alimbwaga kwenye umiss tz
C case Senior Member Joined Oct 13, 2012 Posts 112 Reaction score 104 Apr 27, 2017 #43 Hivi huyu Jokate ameukana lini uraia wake wa marekani?ccm angalieni msije kuingizwa kwenye kashfa nyingine ya kuongozwa na mmarekani au mbongo mwenye passports mbili kama Manji.
Hivi huyu Jokate ameukana lini uraia wake wa marekani?ccm angalieni msije kuingizwa kwenye kashfa nyingine ya kuongozwa na mmarekani au mbongo mwenye passports mbili kama Manji.
Bila bila JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 22,168 Reaction score 39,118 Apr 27, 2017 #44 Tajirimsomi said: Hivi ccm wanawapendea nn wasanii Click to expand... Amepewa ili amvute Ali Kiba.
M Magimbi JF-Expert Member Joined Oct 18, 2011 Posts 1,434 Reaction score 1,211 Apr 27, 2017 #45 Jokate ni mrembo anafaa kuwa Mwenyekiti kwa UVCCM. Akichanga karata yake vizuri atapata Mwenyekiti. Sifa anayo inambeba lakini lazima awe "Mjumbe".
Jokate ni mrembo anafaa kuwa Mwenyekiti kwa UVCCM. Akichanga karata yake vizuri atapata Mwenyekiti. Sifa anayo inambeba lakini lazima awe "Mjumbe".
libeva JF-Expert Member Joined Mar 25, 2015 Posts 4,465 Reaction score 3,615 Apr 27, 2017 #46 Tajirimsomi said: Hivi ccm wanawapendea nn wasanii Click to expand... Wanaushawishi
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Apr 27, 2017 Thread starter #47 Nifah said: Kabinti ka miaka 33? Click to expand... Miaka ni NAMBA