Anadhoofika kwani anapambana na nani!!?nani namdhoofisha!!?Mbona mnamfanya mwenyekiti apigane na hewa!!?
Mmeshasema kuwa mtachapisha fomu Moja tukakubali Sasa anadhoofishwa na nani!!?
Yale Yale ya marehem jpm ;Tume ya uchaguzi yake,Dola kaishika tayari,lakini alisikika akisema hivi kwenye kampeni:-"mwinyi mlimpa awamu mbili,mkapa awamu mbili!kikwete awamu mbili!!,kwanini mimi mnataka kunipa awamu moja!!?
Ikawa kweli akalazimisha awamu ya pili hakuimaliza coz alibishana na asili!!
Muulizeni mwenyekiti kwamba akiyatazama majani,mchanga,mawe,hewa,Jua,mwezi n.k anaona awamu mbili au moja!!?
Kama anaona awamu mbili basi akae kimya hakuna haja ya makelele tote haya toka kwa wapambe,kama anaona moja mwambieni arudi nyumbani akalee wajukuu!!