Jokate Mwegelo: Mpaka sasa Raia Samia hajakosea chochote, tukatae wote wanaotaka kumdhoofisha

Jokate Mwegelo: Mpaka sasa Raia Samia hajakosea chochote, tukatae wote wanaotaka kumdhoofisha

Huyu aliyekuwa anavaa uchi na kuzaa nje ya ndoa amepewa madaraka yasiyo size yake kageuka kuwa chawa. CCM wanapomchagua mdada km huyu wanataka kutoa ujumbe upi kwa jamii!? Watoto wetu wazae nje bila ndoa na kupiga picha za uchi?
Picha za uchi ilikua kitambo, mtu ana haki ya kubadilika pia ana haki ya mambo yake ya zamani kusahaulika kwa kimombo "right to be forgotten" .
 
M@l@ya hastaafu kazi yake huwa anapumzika tu. Jichanganye uoe mwanamke m@l@ya kwa matumaini kuwa atabadilika
Muktadha wa jokate na umalaya ni tofauti! Yule alikua mdangaji km wanawake wengi walivyo!

Kuna tofauti kubwa kati ya mdangaji na malaya. Jokate hakuwahi kuwa malaya!
 
Tukatae watu wanaotaka kumdhoofisha mwenyekiti wetu (Wa Chama Cha Mapinduzi Taifa) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Ameongeza kuwa kwa mara ya kwanza Tanzania imefiwa na Rais akiwa madarakani, ingeikuwa nchi nyingine basi pangechimbika, lakini kwa Tanzania chini ya Rais Samia

Nchi gani pangechimbika? Mbona Malawi hapakujimbika?!
Si wasubiri maamuzi yetu kwenye sanduku la kura.
 
Tukatae watu wanaotaka kumdhoofisha mwenyekiti wetu (Wa Chama Cha Mapinduzi Taifa) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Ameongeza kuwa kwa mara ya kwanza Tanzania imefiwa na Rais akiwa madarakani, ingeikuwa nchi nyingine basi pangechimbika, lakini kwa Tanzania chini ya Rais Samia

Halafu maneno mazuri yanapokuwa yametokwa kwenye kinywa cha mtu mrembo!!!
 
Hoja haipigwi na rungu Wala mihemko,hujibiwa Kwa hoja sio vioja! Uchawa Mwisho 2024
 
Hivi hizi akili lini zitakuwa na akili?
Kwanini asikosee kwani yeye Malaika?
This is stupidity\2
 
Huyu aliyekuwa anavaa uchi na kuzaa nje ya ndoa amepewa madaraka yasiyo size yake kageuka kuwa chawa. CCM wanapomchagua mdada km huyu wanataka kutoa ujumbe upi kwa jamii!? Watoto wetu wazae nje bila ndoa na kupiga picha za uchi?
Hii kitu duniani kote inapatikana sehemu moja tu nako ni ccm 🤣 🤣
 
Anadhoofika kwani anapambana na nani!!?nani namdhoofisha!!?Mbona mnamfanya mwenyekiti apigane na hewa!!?

Mmeshasema kuwa mtachapisha fomu Moja tukakubali Sasa anadhoofishwa na nani!!?

Yale Yale ya marehem jpm ;Tume ya uchaguzi yake,Dola kaishika tayari,lakini alisikika akisema hivi kwenye kampeni:-"mwinyi mlimpa awamu mbili,mkapa awamu mbili!kikwete awamu mbili!!,kwanini mimi mnataka kunipa awamu moja!!?

Ikawa kweli akalazimisha awamu ya pili hakuimaliza coz alibishana na asili!!

Muulizeni mwenyekiti kwamba akiyatazama majani,mchanga,mawe,hewa,Jua,mwezi n.k anaona awamu mbili au moja!!?

Kama anaona awamu mbili basi akae kimya hakuna haja ya makelele tote haya toka kwa wapambe,kama anaona moja mwambieni arudi nyumbani akalee wajukuu!!
Wanajidhofisha wenyewe kwa kuahirisha kufikiri, (kujitoa ufahamu)
 
Back
Top Bottom