Jokate Mwegelo: Mpaka sasa Raia Samia hajakosea chochote, tukatae wote wanaotaka kumdhoofisha

Huyu aliyekuwa anavaa uchi na kuzaa nje ya ndoa amepewa madaraka yasiyo size yake kageuka kuwa chawa. CCM wanapomchagua mdada km huyu wanataka kutoa ujumbe upi kwa jamii!? Watoto wetu wazae nje bila ndoa na kupiga picha za uchi?
Picha za uchi ilikua kitambo, mtu ana haki ya kubadilika pia ana haki ya mambo yake ya zamani kusahaulika kwa kimombo "right to be forgotten" .
 
M@l@ya hastaafu kazi yake huwa anapumzika tu. Jichanganye uoe mwanamke m@l@ya kwa matumaini kuwa atabadilika
Muktadha wa jokate na umalaya ni tofauti! Yule alikua mdangaji km wanawake wengi walivyo!

Kuna tofauti kubwa kati ya mdangaji na malaya. Jokate hakuwahi kuwa malaya!
 
Nchi gani pangechimbika? Mbona Malawi hapakujimbika?!
Si wasubiri maamuzi yetu kwenye sanduku la kura.
 
Halafu maneno mazuri yanapokuwa yametokwa kwenye kinywa cha mtu mrembo!!!
 
Hoja haipigwi na rungu Wala mihemko,hujibiwa Kwa hoja sio vioja! Uchawa Mwisho 2024
 
Hivi hizi akili lini zitakuwa na akili?
Kwanini asikosee kwani yeye Malaika?
This is stupidity\2
 
Huyu aliyekuwa anavaa uchi na kuzaa nje ya ndoa amepewa madaraka yasiyo size yake kageuka kuwa chawa. CCM wanapomchagua mdada km huyu wanataka kutoa ujumbe upi kwa jamii!? Watoto wetu wazae nje bila ndoa na kupiga picha za uchi?
Hii kitu duniani kote inapatikana sehemu moja tu nako ni ccm 🤣 🤣
 
Wanajidhofisha wenyewe kwa kuahirisha kufikiri, (kujitoa ufahamu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…