Jokate Mwegelo na Luka 12:27

Jokate Mwegelo na Luka 12:27

Ila kusema la ukweli Tanzania na africa kwa ujumla tunaishi kwa kukariri mno yaani sijui tatizo liko wapi mfano huyo jokate ni pozi kali ila hata kama ana miaka mingi hajaolewa tatizo liko wapo kama mnaamini kila kitu ni mpango wa mungu .

Ukienda nje hawasemani huo upuuzi mfano rihanna ndo anatarajia mtoto wa kwanza kwa age ya 33

Basi mwacheni kwa uzuri ni mkali sana mwacheni final kila mtu atakufa familia ,majumba ,mali na watoto tunaacha mwacheni

Kama sio msongo wa mawazo, basi una mtindio wa ubongo….. jitahidi kunya asubuhi inasaidia kupunguza makasiriko.
 
Mali Safi hiyo aisee aliniudhi alipoamua kugawa utamu kwa bwana yule.
 
Ila kusema la ukweli Tanzania na africa kwa ujumla tunaishi kwa kukariri mno yaani sijui tatizo liko wapi mfano huyo jokate ni pozi kali ila hata kama ana miaka mingi hajaolewa tatizo liko wapo kama mnaamini kila kitu ni mpango wa mungu .

Ukienda nje hawasemani huo upuuzi mfano rihanna ndo anatarajia mtoto wa kwanza kwa age ya 33

Basi mwacheni kwa uzuri ni mkali sana mwacheni final kila mtu atakufa familia ,majumba ,mali na watoto tunaacha mwacheni
Ww ndo unakosea, ss n waafrika hatuwezi fanana na wazungu kila kitu, wanaosema waache waseme japo wanakosea coz hawajui mipango ya Mungu kwake.
 
Hayo ni maneno ya kumfariji mwanamke mwenye sura personal wakati upo horny ili asikunyime papuchi.

Uzuri wa mwanamke ni universal
Universal wakati mimi kama hana mzigo kama wa Zari au the likes anakuwa hayupo kwenye definition ya uzuri??
 
Maua yapendeza kuona, Suleiman katika fahari yake yote lakini hakuvikwa vizuri kama Moja WaPo ya hayo Maua.

Itoshe kusema kwamba Jokate Ni ua Zuri lipendezalo.


" Her extremely beauty should be prescribed by medical doctors for happiness"

View attachment 2123138
She is more beautiful [emoji3590][emoji7][emoji7]
 
Maua yapendeza kuona, Suleiman katika fahari yake yote lakini hakuvikwa vizuri kama Moja WaPo ya hayo Maua.

Itoshe kusema kwamba Jokate Ni ua Zuri lipendezalo.


" Her extremely beauty should be prescribed by medical doctors for happiness"

View attachment 2123138
Mwanamke tabiaa, shepu ni majaliwaa🎸🎶

Ila wengi walinyimwa tabia, shepu wakabarikiwa🎶🎤
 
Wivu kwa wahuni sidhani, itakuwa ni ganja zao tu; hawakuishia hapo yaani, wanasema kwa elimu aliyonayo, umaarufu na hadhi, eti anamiliki Yutong moja na Coaster moja.
Wengine wanasema eti hapo katikati ya mapaja yake panatoa harufu ya panya aliyeoza.walimwengu wana maneno sana ujue
 
Finest lady but nobody put a ring on it! Attitude itakuwa inamfelisha huyu bindi ya kingoni maybe au labda ana hitilafu kwenye sensa za mbunye!
 
Back
Top Bottom