Jokate Mwegelo ni kati ya wajasiriamali 30 wanaofanya vizuri- Forbes Africa


Nimecheka sana kuhusu weusi
 
Angetajwa Mkenya poa tu ila kwa kuwa ni Mtz acha tupovuke tu.
Jokate ana biashara gani na ofisi ziko wapi? Kuna vijana wengi wako under 30 wana hela kuliko Jokate, nimeanza kutilia mashaka data za hiki kijarida. Jokate huyu anayehangaika maofisin kutafuta deal za u MC na promo awe entrepreneur?
 
Maandiko yao mengi siku hizi yako kibiashara, Unampa chochote mwandishi anakuandika kama SORT OF PROMOTION ili na wewe uitumie hiyo title kuingiza chochote. Kama hawa forbes Africa ndo matapeli haswaa
Nakuunga mkono aisee,na kuna taasisi zinaitumia Forbes kama marejereo yao kitu ambacho ni ujinga mara 100
 
Nimecheka sana kuhusu weusi
Ila huo ndo ukweli mkuu, Ukiambiwa 'WCB Wasafi' ni kampuni huwezi hata kubisha - maana unaona kabisa wako professional na ni legal entity na mpaka kodi wanalipa, lakini ukiona anatumia nguvu nyiingi kusema sijui nini ni kampuni unajua kabisa ni mbabaishaji
 
Nakuunga mkono aisee,na kuna taasisi zinaitumia Forbes kama marejereo yao kitu ambacho ni ujinga mara 100
Ni kweli. Kuna watu wengi wanaliamini sana hilo jarida bila kujua linaweza kuwa manipulated. Mfano kuna jamaa fulani wa Kenya alipotajwa tu - akaanza kuitumia hiyo TITLE kuuza vitabu vyake vya ujasiriamali. Pia mtu huwa akitajwa anakuwa katangazika sana maana hilo jarida linasomwa na kuaminika na wengi duniani. Ingawa kwa sasa pia jingine la Bloomberg ( US ) huwa linaandika pia - la muhimu ni kulinganisha taarifa
 
Jokate ana biashara gani na ofisi ziko wapi? Kuna vijana wengi wako under 30 wana hela kuliko Jokate, nimeanza kutilia mashaka data za hiki kijarida. Jokate huyu anayehangaika maofisin kutafuta deal za u MC na promo awe entrepreneur?

Kweli mkuu,kwenye malikia wa nguvu clouds nimeona wadada kibao wanapiga biashara huyo jokate hagusi, kuna mmoja anatengeneza mbolea kutokana na uchafu, mwingine pampas n.k
 
Mzee biashara zipo nyingi. Usishangae sana. Anaweza kuwa ni mjasiriamali wa mwili wake.
wivu bwana..alafu unakuta ni mvulana(maana mwanaume hawezi kuwa intimidated hivyo)
 
Ule mkataba wake wa mabilioni na wachina wa kidoti brand ulienda wapi mpaka akaishia kuwa m/kiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama Kisarawe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…