Ibilisi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,465
- 5,578
Bora udikteta wangu huo kuliko ule wa kuwasonkobeza wanaume wenzangu kwenye viroba na kuwatosa baharini waokotwe Coco BeachAcha udikteta wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora udikteta wangu huo kuliko ule wa kuwasonkobeza wanaume wenzangu kwenye viroba na kuwatosa baharini waokotwe Coco BeachAcha udikteta wako.
Lini kawahi kuwa na akili za kisomi?Mpaka akili zile za kisomi na exposure zimeyeyuka....
Bure kabisa huyu
Kazi iendelee 👇👇View attachment 2927475
"Tutakwenda kuhakikisha tunaongeza ushiriki wa Wanawake kwenye hizi chaguzi kwa Wanawake wenyewe kugombea. Ufike mwisho wakati wa Wanawake kuwa ndugu watazamaji na wasindikizaji na ifike mwisho Wanawake kuwa ni sehemu ya kuwapigia kura Wanaume wakati ninyi mna uwezo wa kugombea".
Jokate Mwegelo
Katibu Mkuu- Umoja wa Wanawake Tanzania, CCM (UWT)
Indeed.A dunderhead.
Kadir siku zinavo enda mnaanza kujitambuaOkay nilikuwa siwaelewi wataliban sasa naanza kuwaelewa.
Sema unaanza kuvielewa vitabu vitakatifu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi wanaume wakigoma kutupa "unyumba tu" si tutajikuta tunatembea huku tunaongea wenyewe?View attachment 2927475
"Tutakwenda kuhakikisha tunaongeza ushiriki wa Wanawake kwenye hizi chaguzi kwa Wanawake wenyewe kugombea. Ufike mwisho wakati wa Wanawake kuwa ndugu watazamaji na wasindikizaji na ifike mwisho Wanawake kuwa ni sehemu ya kuwapigia kura Wanaume wakati ninyi mna uwezo wa kugombea".
Jokate Mwegelo
Katibu Mkuu- Umoja wa Wanawake Tanzania, CCM (UWT)
Mke wa ndoa akininyima unyumba napiga chiniHivi wanaume wakigoma kutupa "unyumba tu" si tutajikuta tunatembea huku tunaongea wenyewe?
Mwanaume huwezi kumkomoa, akikunyima wiki moja tu unakuwa chizi!