Pre GE2025 Jokate Mwegelo: Wanawake ifike mwisho kuwapigia kura wanaume

Pre GE2025 Jokate Mwegelo: Wanawake ifike mwisho kuwapigia kura wanaume

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yeye yule aliemtia mimba akafanikiwa kumzalisha sio kwamba alimpigia kura akamkabidhi sifuri zero yake aweke kitu ndani au anataka kusemaje amepata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu? Alafu kabla ya kuropoka jichuje kwanza sio unaropoka tu vingine utaropoka kumbe unapotoka
Tatizo amehamishia ubongo tumboni na utumbo ameweka kichwani mkuu. Hawa viumbe natamani ufike wakati turudi zama za kale. Ukiangalia sana utagundua kuna jambo linakuja mbeleni. Hawa akina hawa hawapaswi kupewa hata sekunde kusherehekea vile walivyo.
 
View attachment 2927475
"Tutakwenda kuhakikisha tunaongeza ushiriki wa Wanawake kwenye hizi chaguzi kwa Wanawake wenyewe kugombea. Ufike mwisho wakati wa Wanawake kuwa ndugu watazamaji na wasindikizaji na ifike mwisho Wanawake kuwa ni sehemu ya kuwapigia kura Wanaume wakati ninyi mna uwezo wa kugombea".

Jokate Mwegelo
Katibu Mkuu- Umoja wa Wanawake Tanzania, CCM (UWT)
Sawa.tuwe Makini sana wanaume.tukumbuke kilichowakuta Adam na Samson.adam akabaki analaum Tu baada ya kuulizwa swali na Mungu,Adam umefanya nn?,SI NI HUYU MWANAMKE ULIYENILETEA KAMA MSAIDIZI!
 
View attachment 2927475
"Tutakwenda kuhakikisha tunaongeza ushiriki wa Wanawake kwenye hizi chaguzi kwa Wanawake wenyewe kugombea. Ufike mwisho wakati wa Wanawake kuwa ndugu watazamaji na wasindikizaji na ifike mwisho Wanawake kuwa ni sehemu ya kuwapigia kura Wanaume wakati ninyi mna uwezo wa kugombea".

Jokate Mwegelo
Katibu Mkuu- Umoja wa Wanawake Tanzania, CCM (UWT)
Ni vzr kukawa na uwakilishi mkubwa wa wanawake, lakini uanamke peke yake tu, haitoshi, bongo ni muhimu,
 
Wanaume ndo wameumbwa kuongoza kwa hiyo mpaka dunia itaenda zao bado wanawake watawapigia kura wanaume!!!
 
Huyu wanaume wamemtesa mpaka kachukia wanaume woote...kapigwa "FF principle" nyingi saaana!! 'Fakey and forget' zakutoshaa dadeki.
 
Ameongea ukweli. I absolutely support her reasoning. Sisi wanaume tukipata kacheo kidogo majivuno na jeuri kibao. Utendeji wa kazi zero. Muda wote kujisifu tu. Ningependa kuona Raisi ajeye anakuwa MWANAMKE TENA( I mean 2030).
Hii ni ndoto, we unafikiri bila ya 17/3 huyu angekua?
 
😂😂😂 kuweni serious basi, ni kweli amesema hivyo?

Ni ajabu kiongozi kupanda jukwaani kuhubiri hate speech.

Huwa wanapatikanaje hawa viongozi?
 
Kichaa kinamsunbua
View attachment 2927475
"Tutakwenda kuhakikisha tunaongeza ushiriki wa Wanawake kwenye hizi chaguzi kwa Wanawake wenyewe kugombea. Ufike mwisho wakati wa Wanawake kuwa ndugu watazamaji na wasindikizaji na ifike mwisho Wanawake kuwa ni sehemu ya kuwapigia kura Wanaume wakati ninyi mna uwezo wa kugombea".

Jokate Mwegelo
Katibu Mkuu- Umoja wa Wanawake Tanzania, CCM (UWT)
 
Baada ya vyeo watu hujisahau..
Kujisahau au ndiyo uwezo ulipokomea? Huyu mama ukiulizwa amefikaje hapo alipo unaweza kuonyesha hata kitu kimoja alichofanya au hata kusema tu chenye maana? Huyu alikuwa kiamda wa Magufuli na Samia akaamua kumrithi. Li-chama hili la CCM limejifia siku nyingi ila tu linalindwa na wahuni walioko vyombo vya usalama ili waendelee kufaidi.
 
Kwa nini uli mu overrate hivyo mkuu?
Nimewahi kuona baadhi ya mahojiano yake kwenye vyombo vya habari [ingawa siyo kuhusu mambo makubwa ya kitaifa na kimataifa]. Yalikuwa sanasana kuhusu mambo ya burudani tu.

Pia, kutokana na mahojiano hayo niliyoyaona, alionekana ni mtu mwenye ufunuo [exposure] kiasi flani kutokana na kusafiri kwake nje ya nchi. Kusafiri kwenda kwenye jamii tofauti na unayotoka, huwa ni elimu nzuri sana.

Jingine, niliwahi kuona mahala kuwa ni msomi wa kiwango cha shahada ya kwanza kutoka chuo kikuu cha Dar es Salaam.

Sikumchukulia kama ni mwanasayansi wa maroketi ya anga, lakini pia sikumwona kama ni mpumbavu kiwango cha kuweza kutoa kauli aliyoitoa.
 
This sound to us like weledi na uchapa kazi no matter we kuwa mwanamke tu unakalia kiti.
 
Back
Top Bottom