Jokate nae yumo?

Sema wapenda haki wote nyie si mlifurahia kuona viroba baharini hizo zama zimepita.
 
johnthebaptist tumia lugha yenye hadhi yako hapa JF. Unajulikana kama mkongwe wa JF halafu unatumia lugha isiyo na staha, muda mwingine puuza mambo mengine ili kulinda heshima yako kuliko kujingiza kwenye lugha ya matusi.
Wewe ndio mbwiga kabisa hapo Bavicha.

Yaani DC afanye jinai halafu Rais ndio anatoa kibali akamatwe au asikamatwe?

Wapuuzi kama nyie ndio mnasababisha Mwamba astaafu!
johnthe
 
We Ni jinga aswaa, watu wanaangalia maslai ya Taifa, ayo mambo ya mivyama hayana faida thenge wewe
 
Sabaya ni mwepesi Sana ni lzm atawaja wote walionufaika wote ikiwemo waliokuwa wakimpa silaha akafanye uhalifu
 
Mkuu sikuwahi kufikiri Kigogo anaweza kuwa chanzo chako cha Habari cha kuminika ?

Ama kweli , Watanzania tuna Shida
 
Hahahahahaa usinivunje mbavu mkuu/yaan watu wanajadili vitu sensitive kwa Taifa then mtu anaingiza politics
Hata hapo utaonekana una tamaa, huyo ni wa kumgawa bure au kama kwako kuna panya wengi una mbadili na paka.
 
Wewe ndio mbwiga kabisa hapo Bavicha.

Yaani DC afanye jinai halafu Rais ndio anatoa kibali akamatwe au asikamatwe?

Wapuuzi kama nyie ndio mnasababisha Mwamba astaafu!

Kwa taarifa yako hapa bongo mteule wa rais hata akiuwa makusudi barabarani hawezi kukamatwa wa kuchukuliwa hatua za kisheria mpaka kibali kitoke ikulu
Rejea kilichomtokea nape alipotaka just kumuundia tume bashite kwa uhuni alioufanya clouds
 
Kwa taarifa yako hapa bongo mteule wa rais hata akiuwa makusudi barabarani hawezi kukamatwa wa kuchukuliwa hatua za kisheria mpaka kibali kitoke ikulu
Rejea kilichomtokea nape alipotaka just kumuundia tume bashite kwa uhuni alioufanya clouds
Jiwe ndie aliyekuwa sheria na sheria ndio ilikuwa jiwe.zama ubadilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…