Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mku,alikujibu vpngoja tumuulize dimondi kama kweli
ni mkuu wa wilaya mkuu,utashtakiwaNgoja nimpige chabo siku moja
Acha uendelee kuchafuka tu, maana hamna namna ni dc saiz. She is ahead of you millions yearYani kama kuna mabinti wamewahi kunichefua huyu ni namba moja. Poor Jokate.
Ndo kusema .... kapata uteuzi?![]()
Jokate Mwegelo akiwa kwenye pozi
Modo ambaye pia anafanya muziki na ujasiriamali, Jokate Mwegelo amefunguka huwa anasikia raha kutovaa chochote. Akizungumzia maisha yake ya kimapenzi, Jokate alisema haoni aibu kusema akiwa faragha na mpenzi wake hapendelei kuvaa kitu kwani ni eneo la kujiachia.
"Kwa kweli nikiwa chumbani na mpenzi wangu sipendi kuvaa kitu kabisa" alisema Jokate kwa kifupi.
Chanzo: GPL
Ndo kusema .... kapata uteuzi?![]()
Jokate Mwegelo akiwa kwenye pozi
Modo ambaye pia anafanya muziki na ujasiriamali, Jokate Mwegelo amefunguka huwa anasikia raha kutovaa chochote. Akizungumzia maisha yake ya kimapenzi, Jokate alisema haoni aibu kusema akiwa faragha na mpenzi wake hapendelei kuvaa kitu kwani ni eneo la kujiachia.
"Kwa kweli nikiwa chumbani na mpenzi wangu sipendi kuvaa kitu kabisa" alisema Jokate kwa kifupi.
Chanzo: GPL
Wewe endelea kuuza nyago hapo Lumumba na kutema mashudu JfNdo kusema .... kapata uteuzi?