Jokate, seriously?

Mbona iko poa tu watu wengine bana sasa mlitaka NANI afanye ndo muikubali
 
hyo pcha zake zimekuwa kubwa hadi zitatisha kuvaa atoe hyo pcha kubwa ila good idea
 

binamu nakuunga mkono paragraph ya mwish rohombaya wabongo zimezidi tunasubiri wawe mateja ili tuwacheke..

ila la kuweka jina na kutumia sura sio mbaya coz siyo wa kwanza kufanya hivyo hata Rihana, beyonce,lady gaga, wanauza perfume za brand name zao pia Pdidy kauza sana nguo kwa brand yake, Dillish nae wa BBA naye anauza lipstick zake kwa jina lake inasaidia kwa mashabiki kupay attention kwa bidhaa husika.
 
Kuna Wanaume watanunua !

Lol mungu inusuru Tanzania !
 
Atoe na nyingine aweke kitovu chake
 
Wivu tu huo ni ubunifu wake so mwacheni na maisha yake wabongo tunafuatiliana sana
 
Mbona iko poa tu watu wengine bana sasa mlitaka NANI afanye ndo muikubali

ni wivu tu unawasumbua jokate ni mbunifu na zko poa sana. hongera sana dada jokate...umeonyesha njia kwa wadada wengine ambao kazi yao ni kuponda tu na umbea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…