Endapo akifanikiwa lazima Watanzania 100% ndio watakaonufaika na ajira,sasa ubaya uko wapi? Cha msingi apewe ushauri wa kujenga na siyo wa kumkatisha tamaa. Tuache roho mbaya,wengine hata kuanzisha genge mnashindwa lakini humu jf kazi yenu ni kukejeli tu.Basi mfanye vya kwenu tuvione.