Jokha Kassim

Joha akipitia uzi huu ataenda kumeza kaa la moto. Sijaona shabiki wake zaidi ya mtoa mada.

mi nlikua shabiki wa joha full full ila toka alivyoanza kushindana na leyla na kuna siku aliniletea pozi travertine baaaas
aende zake
 
Tambaaa my dear taamba,taaamba ya habiby taamba
Ni mzuri kiukweli japo sipendi taarabu huu naupenda kidogo

Hata mie sio mpz wa taarabu ila demu wangu wakati nipo nae mbali akawa ananitumia dedication hayo mashairi..
 
mimi mwanadada wa mashariki mix ndani ya swahili magic dstv yani ananiacha hoii, nkimpata yule naachana na ya dunia
 
sijui kwa uzi huu au jf nzima kiukweli huyu dada ana damu mbaya uzi wote sijaona mtu anapuliza wote mnauma japo ni kweli! ukweli utatuweka huru
 
Wewe mtoa mada inawezekana ulimuona ukiwa umeshakula viroba.....bado sijaona huo uzuri uliokushtua mpaka ukaja kumtungia thread huku kwa magreat thinker.......
Viroba vikiisha kichwani utajiona ulivyo mjinga...

Huyu mtoa mada nafkiri kakusudia kumponda sema katumia lugha ya kinyume nyume
 
Kawaida sana sijui angekua kama Leyla ingekuaje..

Acha ushabiki Leyla na ile michunusi dume atamfikia wapi Jokha,ataishia kumnanga tu Jokha wa watu lakininaye ataishia kuwa na michunusi dume na flat screen kuubwa inchi 50
 
Acha ushabiki Leyla na ile michunusi dume atamfikia wapi Jokha,ataishia kumnanga tu Jokha wa watu lakininaye ataishia kuwa na michunusi dume na flat screen kuubwa inchi 50

Hiyo michunusi alizaliwa nayo?
Acha kuongelea jambo ambalo hulijui wewe,karogwa na huyo huyo jokha.
Hutaki unaacha
 
Hheee mtoa mada huijui rangi ya mtume weyee,,huyo dada hua ana sura kama Jokeri
 
Acha ushabiki Leyla na ile michunusi dume atamfikia wapi Jokha,ataishia kumnanga tu Jokha wa watu lakininaye ataishia kuwa na michunusi dume na flat screen kuubwa inchi 50

Leyla mzuri bana hiyo michunusi hakuwah kua nayo alichezewa,ana umbo zuri tu
 
Hiyo michunusi alizaliwa nayo?
Acha kuongelea jambo ambalo hulijui wewe,karogwa na huyo huyo jokha.
Hutaki unaacha

Waswahili kwa kuamini ujinga eti karogwa hiyo michunusi,nyie ndio mnaendekeza imani ambazo kisayansi zinaonyesha tulivyo mbumbumbu.Si ajabu michunusi inatokana au imetokana na vipodozi au vyakula au mfumo wa hali yake kiafya.Na mwisho umejuaje kuwa Jokha ndio kigagula ?una ushahidi upi uliothibitishwa?acheni porojo za magomeni!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…