Jokha Kassim

Jokha Kassim

BABA SANIAH

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2013
Posts
4,606
Reaction score
5,922
Huyu dada muimbaji wa muziki wa mwambao kweli ni ameumbika haswaaa. Sijui anafanya kazi na kundi gani kwa sasa
Rangi yake ni ile ya watu wa mashariki ya mbali au wanaita rangi ya mtume. Nywele za kuzaliwa sio za wigi, si mrefu wala mfupi yupo wastani. Kwa kweli mimi namkubali sana.

Sijui kama ni Single or married zaidi tu ni kwamba walizaa mtoto mmoja na mzee yusuph wakaachana.
Wana Jamiiforums mwenye mawasiliano yake ani-pm tafadhali, namzimikia sana, sijui kama mke wa mtu au vipi, au kama yupo humu ani-pm.

Kupenda si ajabu. Mwenye picha yake atuwekee.
 
DSC08544.JPG

They say beauty is in the eyes of beholder.
 
Ana uzuri gani yule?
Labda zamani kidogo sio sasa bwana,kisura chake tu hakieleweki...

wala s mzuri wa kawaida sana
joha anajidai jamaani km alivyosema@
kichunafk
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: amu
kaolewa mke wa pili na mtoto wa salmin ambae pia ndo kiongozi wa bendi.
 
wala s mzuri wa kawaida sana
joha anajidai jamaani km alivyosema@
kichunafk

angekuwa cute kama marehem mariam sijui kama tungekuwa tunapua au leyla.
Roho inamzizima maana mzee kachukua chuma zaid yake. Hampati kwa lolote anaishia kubwatuka maneno tu
 
Last edited by a moderator:
angekuwa cute kama marehem mariam sijui kama tungekuwa tunapua au leyla.
Roho inamzizima maana mzee kachukua chuma zaid yake. Hampati kwa lolote anaishia kubwatuka maneno tu

hata kidogo anatapatapa kweli joha anamtamni mzee hampati tena
leyla mvumilivu sana mi namsifu
 
hata kidogo anatapatapa kweli joha anamtamni mzee hampati tena
leyla mvumilivu sana mi namsifu

hata mie siwezi kuishi na mume kama mzee.
Ila joha roho inamuuma, anamuita mzee baba watoto wake.
Alihojiwa itv, nilijikuta namuonea huruma
 
Back
Top Bottom