Jon Mrema: Kauli fupi juu ya Mazungumzo ya Chadema na CCM.

Jon Mrema: Kauli fupi juu ya Mazungumzo ya Chadema na CCM.

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
4CB6C2EC-6549-425D-A71D-89B99761ABF7.jpeg


Tuwe na subira Mambo mazuri huja taratibu.

E653F1DF-D713-4EB7-A8E9-0B6ED9A96A9F.jpeg
 
... ni jambo jema. Hivi Makene aliishiaga wapi? Ni muhimu umma hususan wanamageuzi wakafahamishwa kuhusu ukimya wa Makene.
 
Chadema wawe makini na CCM katika mazungumzo hayo. Sidhani kama CCM wana nia njema juu ya mazungumzo hayo.
 
Wekeni ajenda mezani . hizo chai za Ikulu kila siku hazitusaidii wananchi
1. Upatikanaji wa katiba mpya.
2. Tume huru ya uchaguzi,
3. Zuio la mikutano ya hadhara.
4. Makovu ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
5. Suala la wabunge 19 wa viti maalum.
6. Suala la ruzuku,
7. Usawa wa vyama vya siasa,
8. Watu waliochukuliwa hatua za kisheria kwa sababu za kisiasa.
9. Wakimbizi wa kisiasa waliokimbilia nje ya nchi.
 
Back
Top Bottom