Hawa ndiyo wengi sanaKuna walio na wasiwasi na nafasi zao za ubunge walizopewa na mwendazake 2020, ambazo 2025 watazipoteza. Wanatamani Mbowe aendelee kuitwa GAIDI na ingebidi afungwe kabisa gerezani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ndiyo wengi sanaKuna walio na wasiwasi na nafasi zao za ubunge walizopewa na mwendazake 2020, ambazo 2025 watazipoteza. Wanatamani Mbowe aendelee kuitwa GAIDI na ingebidi afungwe kabisa gerezani.
1. Kauli ya Wakurugenzi mpinzani akishinda eneo lako utaadhibiwa ifutwe.10. Kuutambua uchaguzi mkuu uliopita kuwa ni halali
11. Mbowe na Lisu kuteuliwa kuwa wabunge wa kuteuliwa kuziba nafasi ya Balozi Polepole
12. Mchakato wa Chadema kujiunga na CCM na kuwa kitu kimoja kwa maslahi mapana ya nchi
Inasemekana mmoja wa COVID-19 ni mke wake (sikumbuki Jina lake).... ni jambo jema. Hivi Makene aliishiaga wapi? Ni muhimu umma hususan wanamageuzi wakafahamishwa kuhusu ukimya wa Makene.
Alikuwepo kwenye hicho kikao...!?Ahsante
Sisi CCM tunasubiri mwenezi Shaka atupe taarifa inayojitosheleza
Alikuwepo ila huyu Mrema sijamuonaAlikuwepo kwenye hicho kikao...!?
Hatimaye ilithibitika kuwa Makene siyo mchaga. So yaliyofuata dhidi yake nadhani unayaona sasa.... ni jambo jema. Hivi Makene aliishiaga wapi? Ni muhimu umma hususan wanamageuzi wakafahamishwa kuhusu ukimya wa Makene.
Ya chadema pia itazamwe kwa jicho la tatuPande zote ziongozwe na nia njema. Nia za CCM zitazamwe kwa jicho la 3
Indeed. Huyu jamaa Makene ni mmoja ya viongozi niliokuwa naona wana msimamo na wako makini sana. Alikuwa kama alama ya Chadema kwenye kutoa taarifa. Mimi nilikuwa sijui kama alishaenda upande wa pili (kama ni kweli). Ila hata kama ameenda sijamsikia (mimi binafsi) akibwabwaja maneno ya uzushi kuhusu Chadema.
CHADEMA haijawahi kusema lolote juu ya huyu mtu.Mfuatilie vizuri huko Twitter kaungana na kina kigogo kuwananga vijana wa Chadema.