macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Indeed. Huyu jamaa Makene ni mmoja ya viongozi niliokuwa naona wana msimamo na wako makini sana. Alikuwa kama alama ya Chadema kwenye kutoa taarifa. Mimi nilikuwa sijui kama alishaenda upande wa pili (kama ni kweli). Ila hata kama ameenda sijamsikia (mimi binafsi) akibwabwaja maneno ya uzushi kuhusu Chadema.... very sad!