Kumbe ndio maana hiyo taarifa imekosewa, coz imeandikwa na mtu aliyepanic kwa kudharauliwaNasikia kamtongoza CEO
Redio EFM wanampigia simu CEO hapokeiKumbe ndio maana hiyo taarifa imekosewa, coz imeandikwa na mtu aliyepanic kwa kudharauliwa
Redio EFM wanampigia simu CEO hapokei
Ndio watanzania, wanaakisi maisha yao halisi!!! Watanzania tuna tatizo kubwa ndio maana tumekwama hapa tulipo!!Ukiangalia maoni ya baadhi ya mashabiki ndio utaelewa kwanini wachezaji wetu wanakosa nidhamu, Mkude alitakiwa aheshimu ajira yake Simba ilikuwepo na itaendelea kuwepo
Ameandika manara [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Simba nao siku hiz wanayumba sana ,mambo kama aya kwa kipind iki wangeyaacha kwanza wafocus ktk mechi muhimu,wanaweza kuona wanajenga kumbe wanabomoa angepigwa bench muda sahihi wangetoa taarifa sio sasa ata ukiisoma iyo taarifa wamerudiarudia tu
Mpira sio upadreNaunga mkono Wahuni kuwekwa pembeni.
Na tuache kutetea ujinga maana mpaka Wahusika wamemsimamisha lazima wamemshindwa. Kusema ni key Player kwani ndiye Mchezaji tangu Simba izaliwe?.
Kuwa team maana yake ni kuwa kitu kimoja, kama mmoja tabia yake mbovu akatafute timu inayosapoti tabia zake hizo.
[emoji23][emoji23]nimecheka kinomaMpira sio upadre
Daah nimecheka kinoma aisee wee jamaa unaangaliaga mpira kwa makini yaani umegusa kila kitu ninachokionaga kwa huyu Mkude.Huyu mwamba sijui ana shida gani kwa kweli,siku ile wanaenda zimbabwe wenzake wamevaa jezi juu na tracks chini wengine vibukta vyeusi sare yeye kapigwa yale mashati ya maua ya hawaii na kipensi cheupe
kule zimbabwe wanasali na balozi yeye hajafunga macho anakuna nungunungu zake kichwani
Tukirudi kwenye uchezaji Iam glad hatakuwepo kwa kweli,sijawahi muona mkude akifanya sliding tackle hata siku moja yeye ukabaji wake huwa ni kunyanyua mguu na kukita .
Sioni anything special kwa huyu bwana labda kuwe na watu kama kotei na Fraga wa kumsaidia ila akiwa na muzamiru siku hiyo utacheka maana hata pasi hajui kupiga
Ana kitete cha mguu,anakimbia kama ana majipu miguuni,pasi zake nyingi za nyuma hajui kupiga penetration passes kabisa
siku ya mechi ya tunisia nilifurahi sana fei toto alipoingizwa badala yake.Atulize kichwa ule usela mavi wake unakera sana
Ndiyo kweli naliongeleaga kila siku ila popoma Genta huwa anaiwakia sana, tusubiri tuone siku hiyo kama Nyoni atakuwa hajapona kuna uwezekano Shomari Kapombe akacheza katikati, Ame Ibrahim akacheza namba mbili, wajitahidi Lwang apate kibaliDaah nimecheka kinoma aisee wee jamaa unaangaliaga mpira kwa makini yaani umegusa kila kitu ninachokionaga kwa huyu mkude.
Eti ana kitete miguuni. Hahaa
Mkude anajua kuliko viungo wakabaji wote bongo ukiwaunganishaDaah nimecheka kinoma aisee wee jamaa unaangaliaga mpira kwa makini yaani umegusa kila kitu ninachokionaga kwa huyu mkude.
Eti ana kitete miguuni. Hahaa
Ndio mnavyodanganyana, ndio maana Wachezaji wenu hawafiki mbali.....nidhamu ni msingi wa kila kitu.Mpira sio upadre
Hii misemo ya wachezaji wa Tanzania wana vipaji halisi kwani nyie hamuoni kuwa wadhungu nao wana vipaji?Siku zote uwa naamini wanamichezo wa Tanzania wana vipaji halisi, ila kinachowaghalimu ni nidhamu ya kimaisha, ukikosa nidhamu ya kimaisha hata uwe una ubora wa kiasi gani uwezi kufanikiwa!!!
Tazama nchi ndogo kama burundi ina wachezaji waliofanikiwa sana kuliko sisi watanzania ni kwasababu warundi wana nidhamu sana ya kile wanachokifanya, pia hata majirani zetu Uganda, wachezaji wengi wa Uganda wamefanikiwa kutoka nje ya nchi na kufanya vyema kwasababu ya nidhamu, waganda kiukweli wana nidhamu sana. Sijui watanzania kilichotulemaza ni nn?!! Vijana wengi wa Tanzania hawana nidhamu kabisa!! Ili ndio tatizo kubwa.Mkude ni mfano wa aina ya vijana wengi walioko nchini.
Af naskia thimba mmemchoka , morithon ,thema mnaoYaani wamemuacha Morison aliyewatia dole la kati wamemfukuza Mkude