Vipi Morrison aliyewatia vifike yeye nidhamu yake iko POA? Au tuamini kids la Mkude ni kubwa kiasi gani kuliko madharau anayowaonyesha huyo Andunje....mmefeli Sana.Ndio mnavyodanganyana, ndio maana Wachezaji wenu hawafiki mbali.....nidhamu ni msingi wa kila kitu.
Kipaji na nidhamu ndio mafanikio, na bahati mbaya kati ya vipaji vinavyohitaji nidhamu mbele ni michezo.
Nyani atabaki kuwa nyani tuAkili za nguruwe ni shida
Mbumbumbu a.k.a ngumbalu hujui tofauti ya nyani na sokwe? What a shame!Nyani atabaki kuwa nyani tuView attachment 1662050
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Inaelekea mtarimbo wa Mkude unaujua vizuriCEO kachanganyikiwa na mtarimbo wa Mkude. Mo na ki ba....mia chake kakasirika sana kuchapiwa CEO.Mkude tangaza ndoa kabisa kwa CEO.
Simba wana website lakini haipo update, kuna viandishi uchwara wanaandamana navyo wakati wana afisa habari.propaganda za utopolo na media tushazipuuza mda mrefu sana, ingekuwa kalinyo yuko simba na yanayoendelea huko sijui ingekuwaje?engineeer hersi nafikiri hizo hela anazohonga kulipia viwanda vya uongo angeongenzea makipa na mabeki wa prisons mechi inayofuata
Kwa hiyo kutongoza mtu siku hizi ni utovu wa nidhamu?Nasikia kamtongoza CEO
Mtu ana utovu wa nidhamu halafu unasema "Tunasikitika kuwaarifu, kama unasikitika kutuarifu simngemchunguza kimyakimya bila ya kutuarifu? huu ni upupu sawa na upupu mwingine michezoni. Tena anasema, "pamoja na mambo mengine...." ina maana kuwa mkude ana utovu wa nidhamu pamoja na upuuzi mwingine unaochangia asimamishwe. Huu ni upuuzi mwingine wa kibabaishaji kwenye soka. Yani mchezaji ana utovu wa nidhamu pamoja na mambo mengine.... Hayo mambo mengine ni yepi? kwanini ulimpa mkataba tena?Huyu mwamba sijui ana shida gani kwa kweli,siku ile wanaenda zimbabwe wenzake wamevaa jezi juu na tracks chini wengine vibukta vyeusi sare yeye kapigwa yale mashati ya maua ya hawaii na kipensi cheupe.
kule zimbabwe wanasali na balozi yeye hajafunga macho anakuna nungunungu zake kichwani. Tukirudi kwenye uchezaji Iam glad hatakuwepo kwa kweli,sijawahi muona mkude akifanya sliding tackle hata siku moja yeye ukabaji wake huwa ni kunyanyua mguu na kukita.
Sioni anything special kwa huyu bwana labda kuwe na watu kama kotei na Fraga wa kumsaidia ila akiwa na muzamiru siku hiyo utacheka maana hata pasi hajui kupiga.
Ana kitete cha mguu,anakimbia kama ana majipu miguuni,pasi zake nyingi za nyuma hajui kupiga penetration passes kabisa
siku ya mechi ya tunisia nilifurahi sana fei toto alipoingizwa badala yake.Atulize kichwa ule usela mavi wake unakera sana.
alijamba kambini na hatakiwi,bye feliciaMtu ana utovu wa nidhamu halafu unasema "Tunasikitika kuwaarifu, kama unasikitika kutuarifu simngemchunguza kimyakimya bila ya kutuarifu? huu ni upupu sawa na upupu mwingine michezoni. Tena anasema, "pamoja na mambo mengine...." ina maana kuwa mkude ana utovu wa nidhamu pamoja na upuuzi mwingine unaochangia asimamishwe. Huu ni upuuzi mwingine wa kibabaishaji kwenye soka. Yani mchezaji ana utovu wa nidhamu pamoja na mambo mengine.... Hayo mambo mengine ni yepi? kwanini ulimpa mkataba tena?
Hebu nyoosheni kiswahili mtuambie mkude ana mambo gani na utovu wa nidhamu gani uliosababisha aumbuliwe in public kabla tuhuma hazijadhibitishwa? Huku ni kumvunjia heshima mchezaji. Fanya uchunguzi baini tangaza.
Wote ni hayawani tuMbumbumbu a.k.a ngumbalu hujui tofauti ya nyani na sokwe? What a shame!
Lakini nguruwe being nguruwe, hakuna cha ajabu
Na aliyekuambia naye ameambiwa na mtu aliyesikia kwa mtu alieambiwa......hivi una akili kweli wewe.Hata mm nimesikia hivyo
Thibitisha kuwa mmeshikamana wotehakuna bundi yoyote ndo kwanza tumeshikamana sana,binafsi nimefurahi huyo jamaa kupumzishwa kabisa .
haya tayari nishathibitishaThibitisha kuwa mmeshikamana wote
alijamba mkuu kambini kwani we umesikia ya babra,mi nimehakikishiwa ni ya kujamba wakati wa msosiKwani kumtongoza Babla ni kosa???? Mlidhani mkude hana kitombeo.?.
🤣🤣🤣 tubia tuwiliManguruwe bhana. Issue ndogo za beer 🍺 kadhaa na kisha kumpandia hewani CEO imekuwa kitu kikuuubwa. Watu wasinywe tu beer tuwili tutatu? Barbra asisomeshwe?
Wewe nawe mtarimbo wa muafrica na ma mhindi wapi na wapi .Wahindi inajulikana wana viba......mia.Inaelekea mtarimbo wa Mkude unaujua vizuri
Yaani anakwenda Mazoezini akiwa kalewa konyagi?? Duh.ndiyo maana hawajasema kosa lake ila naomba nikukumbushe kitu,kipindi mkude akiwa captain unajua kisa cha kutolewa?
Team wakati ina struggle financially kila siku alikuwa anatishia kuicha simba kwenda yanga waliokuwa na mahela ya manji mbaya zaidi alikuwa anashawishi na wenzake kina ajibu na kina Ndemla.
Huwezi jua this time kafanya nini,what if ana incite rebellion kambini what if anatembeza maneno ya fitna kambini,avumiliwe tu?naamini kafanya kitu kibaya sana lakini itavuja tu tutajua maana kama ni mambo yake ya kuchelewa kambini au mazoezini au kwenda akiwa kalewa konyagi yashazoeleka hayo.
Nasikia kamtongoza CEO