Jonas Mkude: Kinachowaangamiza Simba ni kiburi, Jifunzeni kutokana na haya

Jonas Mkude: Kinachowaangamiza Simba ni kiburi, Jifunzeni kutokana na haya

Sasa Yanga si mfurahi ujio wake kwenu? Shida iko wapi hata mtu anasema simba ni wapumbavu.
 
Mkude anataka mil 80 nilivyosikia,Simba wanaona nyingi,Watampa tu,ila yule Mzimbabwe Majabvi angekuwepo,wasingempa.
 
ile mechi ya mwisho tuliyocheza na yanga mkude alikuwa nje muda gani, pamoja na kucheza pungufu bado yanga walidhibitiwa na goli la kusawazisha likapatikana.Mkude wamwache aende yanga pale simba wamepita viungo wengi mafundi kuanzia kina Nico Njohole,Ramadhani Lenny,Husein Marshal kina Hamisi Gaga ukiwataja kwa uchache sasa hivi ana kiburi sababu Majavubi ameondoka lakini hana kiwango anachodai alipwe pesa hiyo wamruhusu tu aende.
 
Sanchez na Ozil wamegoma kusaini mkataba mpya lakini huwezi kumsikia mzee Wenger anaongea upuuzi kama huo wa Hanspope.
 
Inasemekana kwamba jitihada za Jonas Mkude kuongeza mkataba na klabu yake Simba SC upo kwenye utata mkubwa sana.

Inaonekana mkataba mpya wa Jonas Mkude unadai alipwe fedha zaidi ambazo amekuwa akilipwa kipindi aongezapo mkataba.

Hili suala la ongezeko la pesa za kusaini mkataba mpya limefanya viongozi wa simba sc kumuona kama mchezaji huyo ni msaliti na kuwa hana mapenzi na timu hiyo ambayo imemlea tangu ujana wake.

Hanspope alionekana kulalamika kwenye moja ya chombo cha Habari kuwa haiwezekani mchezaji waliomlea na kumkuza wao wenyewe atake kiasi kikubwa cha pesa ili aongeze mkataba.

"Kama ataki kucheza simba basi aende huko Yanga SC ambapo watamlipa hizo pesa... Mchezaji amejaa tamaa ya pesa sana" Alisema Hans Pope

.................................................................................

Simba ndio mnao haribu soka la Bongo. Mnasindwa kujua kuwa sasa ni wakati wa kubadilisha soka kutoka la Burudani kuwa la kulipwa..

Kumbukeni kuwa hawa vijana hawana kazi, wameamua kufanya soka kuwa ni kazi. Inapaswa kazi yao iheshimiwe kama kazi yako wewe inavyoheshimika....

Yule ni mchezaji wa kumtegemea sana kwenye kikosi chenu kwa sasa (zaidi ya kichuya) cha kushangaza mnamchukulia kama kapuku fulani hivi... Yaani iweje Mavugo alipwe pesa ndefu zaidi yake.. Ukizingatia yeye ndiyo mwenye kiwango zaidi ya huyo Mavugo.

Igeni waingereza pale. Ona salary ya Rooney! Kipindi anafanyiwa salary increment yeye ndiye alikuwa dependable player.

Huwa mnajifanya viburi sana. Eti ohh acha aende simba ni kubwa kuliko yeye. Hilo si sawa kabisa.

Inaonekana bado hamjajifunza mpaka leo.

1. Tangu Yondani asepe hamkuwahi pata mlinzi mwenye hadhi yake....

2. Tangu Tambwe asepe hamjawahi pata striker mwenye hadhi yake na ubora wake.

3. Tangu Messi "Singano" asepe hamjawahi pata winga wa kulia mwenye uwezo kama yeye (licha ya kuwa Kichuya anajaribu kuwasahaulisha....

4. Tangu Kessy asepe hamjafanikiwa kumpata mbadala wa huyu kijana. (Mnatudanganya kuwa Bokungu ameweza)

5. Tangu akina Barthez na Dida wasepe pale hamjawahi pata walinda milango wenye ubora sawa na wakudumu kwa kitambo kirefu....

Simba acheni kiburi cha kujiona kuwa mnauwezo wa kuwaacha wachezaji wenu muhimu na kujidai kuwa mna uwezo mzuri wa kuwa replace.
Boya kweli wewe.
We hao wanaochezani mawe
 
cha ajabu angekuwa mchezaji wa nje amgeongezewa tu dau..viongoz lazima watambue vijana na wao wana malengo yao [pia na hata kama wameshndwana sio kiongoz unaenda kwe media na kuongea vile kama hansope kwan wachezaj wengne walioko kundin utawashusha morali maana watajua tu hii timu ukiomba kupandshiwa dau unakua adui......simba wachezaj watakua wanakimbia mpk lini?hata kama mmemlea sasa ndo mnataka asiwe na haki ya kulipwa vizuri?
 
Barcelona wamemuuza Sanchez,ambaye walimnunua kutoka Juve na timu zote hizo zikatwaa ubingwa.



Zilitwaa ubingwa kwa kuwa waliweza kureplace kile kilichoondoka klabuni....

Sasa simba anaondoka Tambwe unaleta Kiongera na Sserenkuma....! Kweli?

Hamko serious kabisa....


Mnadhani ubingwa ni wa kirahisi sana
 
Liverpool wamemuuza Torres na Suarez ndio sababu hawajachukua ubingwa kwa muda wa 25 years?Are you serious?


Usipanick sana ukamaliza povu lote.

Nimetaja baadhi ya wachezaji bora waliowahi kuwa nao ambao wangewezesha klabu kubeba ubingwa wa ligi...!

Najua watu kama akina Alonso na Bellamy waliondoka mapema wakiwa na iwezo mzuri pia...
 
Alafu kama mchezaji umemlea wewe basi unastahili kumjali kuliko yule aliyelewa na mtu mwingine kwani huyu ulomlea niwako, iweje sasa afe njaa wakati wewe ndo umemlea na iweje mgeni anufaike kwa matunda ya mzawa wakati mzawa anasota anahangaika kila kukicha kuilisha familia yake, SIMBA niwapumbavu tena wapumbavu sana. huwezi sema huyu tumemlea so asiombe hela kwahiyo wanataka acheze bure na asajiliwe bure wakati wanatumia hela ndefu kusajili wapumbavu wenzao! Simba nimapunguani sana!


Wao wanaona kama mchezaji akilelewa pale basi anastahili kulipwa pesa na malipo madogo kwa sababu bila klabu yeye asingeweza kujulikana....


..
 
Mwambie kuna mchizi mmoja alikuwa anaitwa Said Maulid SMG, alikuwa huko matopeni kama mnakumbuka baada ya kwenda Yanga mambo yake kila jicho liliona!


Mara nyingi huwa nasema kuwa Yanga klabu pekee ambayo kila mchezaji wa afrika mashariki ana ndoto ya kuichezea...


..
 
ile mechi ya mwisho tuliyocheza na yanga mkude alikuwa nje muda gani, pamoja na kucheza pungufu bado yanga walidhibitiwa na goli la kusawazisha likapatikana.Mkude wamwache aende yanga pale simba wamepita viungo wengi mafundi kuanzia kina Nico Njohole,Ramadhani Lenny,Husein Marshal kina Hamisi Gaga ukiwataja kwa uchache sasa hivi ana kiburi sababu Majavubi ameondoka lakini hana kiwango anachodai alipwe pesa hiyo wamruhusu tu aende.
Kwa ujinga wa klabu ya simba: ilikuwa tayari kumlipa Majabvi pesa kama hiyo mil80 ila kwa kuwa Mkude ni mtz basi hana hadhi ya kulipwa pesa hiyo...
 
Mkuu
Real Madrid hajatwaa ubingwa tokea 2012 nae ameacha wachezaji?Mijitu mengine unashangaa wanafikiri kwa kutumia nini?Liverpool leo ni mwaka wa 25 hawajatwaa ubingwa.Cha ajabu nini?Yanga mlipokuwa na maamuzi ya pamoja mlifukuza timu nzima ikisheheni wachezaji wa maana. Mtaanza upya. Leo hamna ubavu wa kuacha mchezaji hata akidengua kwa sababu timu yenu leo inamilikiwa na mtu mmoja ukipinga unafutwa unachama.Kama wewe ni mwanachama pinga uone. Dr.Tiboroha alijaribu leo yupo Stendi United.
mkuu messi kalelewa na Barcelona ILA mkataba mpya anavyokomaa
 
Sanchez na Ozil wamegoma kusaini mkataba mpya lakini huwezi kumsikia mzee Wenger anaongea upuuzi kama huo wa Hanspope.
HP huwa anavuta bangi kabla hajapitia mikataba ya wachezaji wake...
 
Simba chuo cha Soka


USIISAHAU MTIBWA PIA...



WACHEZAJI WENGI SANA ULIO NAO SASA UNAWATOA HUKO
...


TUWASHUKURU MTIBWA SUGAR KWA KUZALISHA WACHEZAJI WENGI..



.. [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Asepe tu simba IPO na itaendelea kuepo
Tumemkuza toka team ya watoto simba b sasa kama anona simba aimlipi asepe tu


Sio kweli aisee...

Mkude amekuzwa na wazazi (walezi) wake....

Kule B alipitia tu.!!!!
 
Back
Top Bottom