Waulize wale wazee wa wili wenye akili kuliko mashabiki wote wa yanga dunianiSanamu la mzee Rage lijengwe mkoa gan???
Asante Kwa taarifaMkude ada ya usajili na mshahara milioni 300 ,kacheza mechi tatu msimu mzima,
Okra Milioni 300 kafunga goli moja.
Chama milioni 600
Sina hela lakini nina akili
Tuanze na la MZEE WETU LUC EYMAEL..Sanamu la mzee Rage lijengwe mkoa gan???
Alafu tumalizie la kaduguda na la yule mzee aliyekuwaga kiongozi wa Simba aliyesema mlienda kunya nyumbani kwake. Hilo tulichonge na chini ya Sanamu, tuweke picha yako ukikata gogo nyumbani kwake.Tuanze na la MZEE WETU LUC EYMAEL..
Inferiority complex at its finest...Mkude ada ya usajili na mshahara milioni 300 ,kacheza mechi tatu msimu mzima.
Okra Milioni 300 kafunga goli moja.
Chama milioni 600
Sina hela lakini nina akili
Vibabu vimechukua makombe mangapi? Na wewe mwenye vijana una makombe mangapi?Kila mchezaji anaeachwa na Simba utopoloni ni lulu.
Wako kwenye mchakato wa kuunda timu ya vibabu.
Kuna kadi yoyote ya uanachama wa yanga uliyonayo kusema Kuna ata mchango wako ulioutoa? Kama upo basi lazima uumie vinginevyo wivu wa kike unakusumbuaYanga kuna ushamba mwingi sana
Nyuma - Mwiko
Mkude ada ya usajili na mshahara milioni 300, kacheza mechi tatu msimu mzima.
Okra Milioni 300 kafunga goli moja.
Chama milioni 600
Sina hela lakini nina akili!
===
Pia soma: Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili kiungo mshambuliaji Clatous Chota Chama raia wa Zambia