Jonas Mkude, Okrah, Chama wameigharimu Yanga bilioni 1.3 ili tu kuwakera Simba

Pesa ipo ya kumwaga ili tu kuwakomesha simba. Acha wamwage pesa ovyo [emoji23][emoji23][emoji23] bahati nzur waaosajiliwa wanafurahi mana wanaona utajiri huu hapa..
 
Kuna kadi yoyote ya uanachama wa yanga uliyonayo kusema Kuna ata mchango wako ulioutoa? Kama upo basi lazima uumie vinginevyo wivu wa kike unakusumbua
Niliahiriki kujenga jengo la yanga pale jangwani mjukuu wangu
 

Attachments

  • mwiko.jpg
    11.8 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…