Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Wewe ni mhasibu wa Yanga! Au wakala wa hao wachezaji? Toa ushahidi ili tuamini hiki ulichokiandika hapa. Kinyume na hapo, wewe ni mzushi tu.
Mkude ada ya usajili na mshahara milioni 300, kacheza mechi tatu msimu mzima.
Okra Milioni 300 kafunga goli moja.
Chama milioni 600
Sina hela lakini nina akili!
===
Pia soma: Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili kiungo mshambuliaji Clatous Chota Chama raia wa Zambia