dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
sandrah temu, toto zuri ya A-Town, toto inapee juisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuga vijana wanawaza kulelewa na wazungu tu
Alianzia kuonekana pale Times Fm lakini wakubwa hakuwashawishi kumpa kipindi kikubwa hawakuridhika na kiwango chake.
Baadae akatimkia Wasafi FM akapewa kipindi cha Block 89 akafeli kipindi kikafa ilikuwa hasara tu kipindi kilijaa kelele wadhamini hakuna.
Akaletwa Lil Ommy pale Wasafi na akaja na kipindi kipya na ilikuwa jonijo awe msaidizi wa Lil Ommy akakimbia akimuogopa Lily ommy atamficha.
Akakimbilia EFM kwa Majizo. Pale akapewa kipindi cha empire akiwa na B Dozen akuonesha lolote alishindwa Ku add value kipindi kikakosa sponsors listeners wachache Majizo akakifuta kipindi.
Amejaribu kumamishia mchana lakini hali ile ile kipindi hakina mvuto hakina listeners hakuna sponsors. Nacho kimefeli ni hasara tu.
Kwa sasa alichobakiza ni misemo tu ya kukopi kwenye bajaj au malori sijui wahuni sio watu.
Nafikiri ndio mtangazaji mzigo kuwai tokea kwenye urban radio stations.
Dah[emoji1787]Amekazana tu
BABAAKOOO[emoji23][emoji23]
Friday night live maarufu kama FNL, Mkuu ndio vipindi vya sasa vinataka watu kama wale kina bill sepenga ata ukienda uko usafini utakutana na kina LokoleVipindi sivielewagi ni vile vya EATV ,kuna counter ya pombe pale wanaruka ruka ,mahojiano yasiyo na mpangilio,..hivi zile pombe ni matangazo tu ,au mtu akialikwa anapewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi kumkubali ila angekuwa bado wasafi najua usingeleta hii kitu na kama angeileta mtu ungepinga siku nzima.Uwezo wake mdogo. Alikuwa overrated wakati yupo YouTube.
Siku nyingi saaanaSijui nazeeka, wala sijui kinachoendelea.
Kwani kina Misago waliondoka?
program
Yani ulikua humuelewi bwana Abdallah dullah planet?Vipindi sivielewagi ni vile vya EATV ,kuna counter ya pombe pale wanaruka ruka ,mahojiano yasiyo na mpangilio,..hivi zile pombe ni matangazo tu ,au mtu akialikwa anapewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu Dullah kaondoka siangalii tenaKile kipindi (FNL) wale mashoga ndo wanakiharibu
Vijana wa Tanzania ni zaidi ya wachawi Lengo ukiwa na vimaisha kidogo wanatamani wakuharibie ili wote msote kwenye matopeMmh hii sasa chuki, ilipaswa utoe ushauri lakini sio hivi unavyofanya..mfano akikosa kazi wewe unafaidika?
Kwizera fm😂Aende Hata Ngara Atapata Radio