Jonijoo ni mtangazaji anaeongoza kuzipa media hasara. Ni mtangazaji mzigo

Jonijoo ni mtangazaji anaeongoza kuzipa media hasara. Ni mtangazaji mzigo


Alianzia kuonekana pale Times Fm lakini wakubwa hakuwashawishi kumpa kipindi kikubwa hawakuridhika na kiwango chake.

Baadae akatimkia Wasafi FM akapewa kipindi cha Block 89 akafeli kipindi kikafa ilikuwa hasara tu kipindi kilijaa kelele wadhamini hakuna.

Akaletwa Lil Ommy pale Wasafi na akaja na kipindi kipya na ilikuwa jonijo awe msaidizi wa Lil Ommy akakimbia akimuogopa Lily ommy atamficha.

Akakimbilia EFM kwa Majizo. Pale akapewa kipindi cha empire akiwa na B Dozen akuonesha lolote alishindwa Ku add value kipindi kikakosa sponsors listeners wachache Majizo akakifuta kipindi.

Amejaribu kumamishia mchana lakini hali ile ile kipindi hakina mvuto hakina listeners hakuna sponsors. Nacho kimefeli ni hasara tu.

Kwa sasa alichobakiza ni misemo tu ya kukopi kwenye bajaj au malori sijui wahuni sio watu.

Nafikiri ndio mtangazaji mzigo kuwai tokea kwenye urban radio stations.
Chuga vijana wanawaza kulelewa na wazungu tu
 
Vipindi sivielewagi ni vile vya EATV ,kuna counter ya pombe pale wanaruka ruka ,mahojiano yasiyo na mpangilio,..hivi zile pombe ni matangazo tu ,au mtu akialikwa anapewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Friday night live maarufu kama FNL, Mkuu ndio vipindi vya sasa vinataka watu kama wale kina bill sepenga ata ukienda uko usafini utakutana na kina Lokole
 
Wewe chawa una chuki na watu wengi. Kuna uzi wako mwingine ulikuwa unasema FA ana roho mbaya. Tafadhali ndugu punguza chuki kwa vijana wenzako. Inawezekana Diamond anakulipa kwa kazi ovu ya kuchafua watu ila jua haina mwisho mzuri.
 
Watangazaji wengi hawana ubunifu, wana style moja za kutangaza hasa vipindi vya mchana.

Plus wimbi la wachambuzi feki wa mpira wa Simba na Yanga.

Natamani itokee misimu kama mitatu hizi timu za Kariakoo zifungwe tuwe na focus ya mambo mengine.
 
Back
Top Bottom