Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Wewe pia walewale, kiswahili kinakupa tabu *hari" ndo nini?Kazi yake inataka ubunifu wa hari ya juu.
Inatakiwa awaze kuja na program mpya kila wakati.
Akubali kuambiwa pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe pia walewale, kiswahili kinakupa tabu *hari" ndo nini?Kazi yake inataka ubunifu wa hari ya juu.
Inatakiwa awaze kuja na program mpya kila wakati.
Akubali kuambiwa pia
Huyu kajitoa kwa mondi [emoji1]Wewe chawa una chuki na watu wengi. Kuna uzi wako mwingine ulikuwa unasema FA ana roho mbaya. Tafadhali ndugu punguza chuki kwa vijana wenzako. Inawezekana Diamond anakulipa kwa kazi ovu ya kuchafua watu ila jua haina mwisho mzuri.
Hata wewe kinakupa tabu mkuuWewe pia walewale, kiswahili kinakupa tabu *hari" ndo nini?
Kiukweli Mrangi tunalazimishwa tu kusikiliza kina Rayvanny na Harmonize ila hadi leo hii popote ikiachiwa Etat Major ya Extra Musica au Loi ya Koffi kunatokea msisimko wa ajabu. Yaanj hata ngoma za Twanga za zamani zina mizuka kuliko huu uchafu tunaoimbiwa na hawa wahuni. Na hizi tuzo zao feki zinazoishia kunipa tu hasira. Tuzo za Kora ndo pekee nazoamini zilikuwa sahihi.Huyu kajitoa kwa mondi [emoji1]
Naona hiphop tumepotezwa kabisa
Hatupewi airtime kabisa wabana pua
Wavaa vikuku mguuni wanatamba tu
Ova
We jamaa una akili sanaMwenye zamu ya kununua luku kaja na mshumaa
Aliepewa hela ya kununua sanda karudi kalewa
Wahuni hawacheat wanapendanga tu wanachokiona
Sikuhizi baba hamfokei tena dada wa kazi
Anaeuza supu ya pweza kakimbiwa na mkewe
Jonijo Nilikua namfatilia ila sijui sahivi yuko wapi na anafanya kipindi gani
Idea ilikua ya Msanii wa Hip Hop Baghdad Lukuga aliiba akampa “Baba Ako” atembee nayo☺️Ile idea sijui ilikuwa ya nani, alitisha sana.
Idea ilikuwa ya bag dady na ilitakiwa yeye ndio aendeshe kipindi ila bwana Almas sijui ilikuwaje akampinduaIle idea sijui ilikuwa ya nani, alitisha sana.
Loh! Yule janki mrefu?Siku nyingi saaana
NakubaliAiseee kuna huyu mwamba wa Wasafi Mo town Sanya apewe maua yakee
Jamaa hana ushawishi. Utangazaji wa kuongoza kipindi zama hizi unataka ushawishi.
Maana kuna ma tik tokers na youtubers wameingia kwenye ushindani na watangazaji
😂😂😂😂😂😂Amekazana tu
BABAAKOOO😂😂
Dah! Nimecheka mpaka nimepaliwaNi sawa na Abdukiba, yule ndie msanii ambaye hana msaada kwenye usanii mana hakuna msanii yeyote aliyeona umuhimu wake akamshirikisha kwenye nyimbo yake.
Hata na wewe huna tofauti na yeye naona pia unachuki ndani yakoWewe chawa una chuki na watu wengi. Kuna uzi wako mwingine ulikuwa unasema FA ana roho mbaya. Tafadhali ndugu punguza chuki kwa vijana wenzako. Inawezekana Diamond anakulipa kwa kazi ovu ya kuchafua watu ila jua haina mwisho mzuri.
Yupo poa sana ana ubunifuAiseee kuna huyu mwamba wa Wasafi Mo town Sanya apewe maua yakee